Kukwambia nakupenda sio umepata kazi tumeelewana...

Kukwambia nakupenda sio umepata kazi tumeelewana...

GIRL> baby wiki ya pili Sasa sijaenda saluni
MWANAUME WA KWELI > nenda ukirudi utanikuta

GIRL> mmh alafu baby kuna mkoba nimeupenda
MWANAUME WA KWELI> endelea kuupenda

GIRL> jomooon basi kesho Bata Wapi MWANAUME WA KWELI> kwenye banda Lao

GIRL> enheee nikwambie Jana nilipita pale kariakoo nikaiona iPhone 7 jamani niliipenda
MWANAUME WA KWELI > kesho ntakupa nauli ukaione tena

GIRL> nna hamu yakunywa Soda
MWANAUME WA KWELI> msichana kunywa soda huo ni uzamani msichana wa Sasa anakunywa sumu

GIRL> Begi langu la nguo nililiweka wapi sijui
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
GIRL> baby wiki ya pili Sasa sijaenda saluni
MWANAUME WA KWELI > nenda ukirudi utanikuta

GIRL> mmh alafu baby kuna mkoba nimeupenda
MWANAUME WA KWELI> endelea kuupenda

GIRL> jomooon basi kesho Bata Wapi MWANAUME WA KWELI> kwenye banda Lao

GIRL> enheee nikwambie Jana nilipita pale kariakoo nikaiona iPhone 7 jamani niliipenda
MWANAUME WA KWELI > kesho ntakupa nauli ukaione tena

GIRL> nna hamu yakunywa Soda
MWANAUME WA KWELI> msichana kunywa soda huo ni uzamani msichana wa Sasa anakunywa sumu

GIRL> Begi langu la nguo nililiweka wapi sijui
Bila kuuliza atakuwa tu ni mwanaume wa mkoani wa dar htuna mambo kama haaayo
 
Back
Top Bottom