Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Wacha bhana; Nani kakuona hohehahe? 😳Maharage kilo 2800
Dagaa kilo 8000
Sasa kwanini ukila unaonekana hohehahe?
Kuna dagaa wa Kigoma.Maharage kilo 2800
Dagaa kilo 8000
Sasa kwanini ukila unaonekana hohehahe?
Kama kula kabechi tuuUsifananishe kati ya UZITO NA UJAZO.
DAGAA KILO MOJA UNAWEZA KULA HADI WIKI 2
MAHARAGE UNAWEZA KULA SIKU 2 HADI 3
Upatikanaji wa maharage ni rahisi lkn bei iko juu. Lkn process za kupata dagaa ni ngumu lkn bado unapata kwa bei kama hiyo.
Kula dagaa ni UMASIKINI
Mtu huulizwa amevaa nini haulizwi amekula nini. 🙁Usifananishe kati ya UZITO NA UJAZO.
DAGAA KILO MOJA UNAWEZA KULA HADI WIKI 2
MAHARAGE UNAWEZA KULA SIKU 2 HADI 3
Upatikanaji wa maharage ni rahisi lkn bei iko juu. Lkn process za kupata dagaa ni ngumu lkn bado unapata kwa bei kama hiyo.
Kula dagaa ni UMASIKINI