witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kabisa mkuu...Mambo ya kula misosi imemikisiwa na maji ya K daaah!yep kabisa..hii misosi ya magengeni ina mambo mengi sana..hawa wapo kibiashara lolote linaweza kufanyika..
Ila kupika nyumbani ndio best option...una ges yako na chakula chako ndani..haichukui saa moja na nusu umeshaivisha..
Utashangaa mikosi inakuandama tu[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app