Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

yep kabisa..hii misosi ya magengeni ina mambo mengi sana..hawa wapo kibiashara lolote linaweza kufanyika..

Ila kupika nyumbani ndio best option...una ges yako na chakula chako ndani..haichukui saa moja na nusu umeshaivisha..
Kabisa mkuu...Mambo ya kula misosi imemikisiwa na maji ya K daaah!

Utashangaa mikosi inakuandama tu[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mkuu...Mambo ya kula misosi imemikisiwa na maji ya K daaah!

Utashangaa mikosi inakuandama tu[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 huwa kuna mambo mengi watu hawajui tu...mara muhudumu anakuletea chakula huku ana mafua, hajapiga bafu, wengine kwenye kusonga ugali jasho anamimina humo...😁
 
Uko sahihi kabisa sasa hapo me sinunui unga kg 5 nachofanya ili niende mda mrefu zaidi nanunua unga kg 25 ngano hivohivo mchele kg 20 maharage kg10 sukari kg 5 mafuta ni kindoo nina gas mtungi mdogo nina mkaa gunia zima nyanya nanunua kg 2 vitunguu naenda mwenyewe sokoni hapo vya buku vinaenda hata mwezi ni vingi sana vitu ambavyo havidumu sana ni karot na hoho so nanunua za kunisogeza nazi zangu za elf tatu nyama sjui samaki nakuja weka ndani hapo ninakaa sana hata bajeti nayoachiwa naibana vizuri tu na maisha yanaenda ukiwa unafanya hivv ni muda tu ukae upike basi zile movement za kwenda magengeni na dukani hata hazipo labda mboga za majani ssna hizi ndio zinanipeleka huko gengeni au sokoni kabisa na nnakua na kikombe changu kile cha nusu maisha yanasogea
kupika home ni nafuu zaidi na nzuri kwa Afya kuliko mgahawani!! Sababu mimi nikinunua kilo 10 ya mchele, Unga kilo 5, maharage kilo 6, mafuta lita 5, na vizaga zaga vinginge nyanya, vitunguu maji,saumu,malimao,tangawizi,pilipili kwa ajili ya chachandu😁, kuku,nyama( ng'ombe,mbuzi) au samaki kwa fridge, nina gesi yangu labda mtungi mdogo au mkubwa,hapo natumia mwezi na kabisa.labda mara moja moja nanunua vitu ambavo ni perishable goods kama nyanya napo za jero au buku natumia siku 4..
imagine kila siku asubuhi mpaka jioni tuseme natumia elfu 4 kwa maisha ya kawaida kwa kiwango cha chini kwa mwezi ni kama 124,000...sasa hiyo nikihemea mazaga zanga si na chenji inabaki..
Vizuri kupika home!!
 
Uko sahihi kabisa sasa hapo me sinunui unga kg 5 nachofanya ili niende mda mrefu zaidi nanunua unga kg 25 ngano hivohivo mchele kg 20 maharage kg10 sukari kg 5 mafuta ni kindoo nina gas mtungi mdogo nina mkaa gunia zima nyanya nanunua kg 2 vitunguu naenda mwenyewe sokoni hapo vya buku vinaenda hata mwezi ni vingi sana vitu ambavyo havidumu sana ni karot na hoho so nanunua za kunisogeza nazi zangu za elf tatu nyama sjui samaki nakuja weka ndani hapo ninakaa sana hata bajeti nayoachiwa naibana vizuri tu na maisha yanaenda ukiwa unafanya hivv ni muda tu ukae upike basi zile movement za kwenda magengeni na dukani hata hazipo labda mboga za majani ssna hizi ndio zinanipeleka huko gengeni au sokoni kabisa na nnakua na kikombe changu kile cha nusu maisha yanasogea
Thanks!! Umeniongezea Madini hapo!!
 
Uzuri wa kujipikia unapata kiporo cha kula asubuhi,ila mi napenda zaidi kujipikia na siku nikishinda home hasa weekend napika msosi kama ifuatavyo

Asubuhi
Nanunua samaki wa elfu 3 sangara namkata vipande 4 vitatu nakaanga

Kichwa natengeneza mchemsho wa viazi na samaki for breakfast

Mchana

Napika wali ambao nakula mchana,usiku na kesho asubuhi
Mboga ni wale samaki niliokaanga

NB: Huwa ninanunua stock ya kutosha mchele,mafuta,viazi vitunguu mi nakua na gharama tu ya mboga mwezi nzima

Kupika unaenjoy na unakula msosi wa kushiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeehey sangara wa elfu 3 ule asubuhi mchana na jioni? Mkuu uko mwanza nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa sasa hapo me sinunui unga kg 5 nachofanya ili niende mda mrefu zaidi nanunua unga kg 25 ngano hivohivo mchele kg 20 maharage kg10 sukari kg 5 mafuta ni kindoo nina gas mtungi mdogo nina mkaa gunia zima nyanya nanunua kg 2 vitunguu naenda mwenyewe sokoni hapo vya buku vinaenda hata mwezi ni vingi sana vitu ambavyo havidumu sana ni karot na hoho so nanunua za kunisogeza nazi zangu za elf tatu nyama sjui samaki nakuja weka ndani hapo ninakaa sana hata bajeti nayoachiwa naibana vizuri tu na maisha yanaenda ukiwa unafanya hivv ni muda tu ukae upike basi zile movement za kwenda magengeni na dukani hata hazipo labda mboga za majani ssna hizi ndio zinanipeleka huko gengeni au sokoni kabisa na nnakua na kikombe changu kile cha nusu maisha yanasogea
Sahihi kabisa mkuu.
Kwa upande wangu suala la kula mgahawani huwa siliafiki kabisa ukizingatia masuala ya kiafya. Kuliko nitafute chakula mgahawani ni bora nikae na njaa yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom