Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

Watu wengi wanafikiri kula mgahawanini rahisi sana kuliko. Kupika mm na taka kusema no.
Kupika chakula chako ni rahisi sana kuliko kununua Sema tu ili uweze kuwa ktk position yakujipikia na usile mgahawani unaitaji kuwa na capital ya maandalizi ambayo in long run itakulipa.
Nilazima tukubaliane yapo mambo ya hatari kula kwenye mgahawa na moja wapo kubwa sana ni magonjwa yakuambukiza au yasababishwayo na chakula. Gharama ya chakula haitokan na wingi au. Ukubwa wa chakula ila conten iliyo anda hicho chakula. Chakula cha 1000 hakiwezi kuandaliwa na mafuta mazuri hapa namanisha mafuta yenye ubora. Pia hata mpishi hawezi kuwa na watu wazuri ktk mapishi hapa ndipo unakuja kugunduwa watu wanao kula hovyo wana patwa magonjwa ya ajabu sana na hili limethibitishwa na madaktari.

Unaweza kuokoa pesa nyingi ktk. Kujipikia kuliko kupikiwa ukiwa mwenye akili na ubunifu ktk mapishi thanks God now a dya teach imekuwa kubwa sana kiasi kwamba mtu anaweza jitengenezea break fast na luch box yake home sweet home.

Maitaji makubwa sana ktk kujitengenezea msos wako mwenyewe ni
Frige,
Jiko la gas
Na vifaa vya kuifadhi chakula.
Ili uweze pika chakula chako mwenyewe ni lazima uwe na tabia kununua vitu vyako ktk bei ya jumla namanisha nn hapa kwa wale waliopo dar badala yakununua vitu kwa mangi gengeni jiwekee tabia kununua vitu buguruni sokon au kariakoo nahapa. Penda kwenda asubuh sana. Ukienda asubuh vitu ni fresh na huwa vinauzwa kwa bei nafuu.
Mfano mzuri nipale mm naweza tumia nyanya za Tsh 3000 mwez mzima na siri ni moja nanunu kwa bulk sokoni. Mkate wa Tsh 3000 natumia wk zima na siku moja. Nikijumlisha gharama za Kujipikia na kununua mgahawan Napata faida kubwa sana ikiwemo afya yangu Siwez pata homa ya main au mapafu, kifuwa kikuu maana nakula nacho pika mwenyewe tena natumia alizeti.
Kwa week na save almost 60,000/ nina amini ktk kujiwekea saving kwa kupunguza exp ambazo sio za msingi.
Ofisi inatoa maji hivyo nakunywa maji mengi ofisin huku nikienda na yalio baki home.

Naamka Usiku kuandaa breakfast yangu na lunch ya mchana kiukweli namuona Mungu ktk. Haya yote.

Ndio maana some of the richest people wanakula home na hawanunui maotelini pamoja na utajiri walio nao.

Familia nyingi za kiafrika na Tanzania watu wanakula maofisi na kiukweli wanapata umasikin wa mwaka hata kama wao wanaona hakuna hasara. Embu tafakari boss anaye enda pata lunch sheraton anatumia Tsh ngapi?

Maofisi mtu analipwa Labda 500k anakula msosi Tsh 7000 je kuna maendeleo hapo? Umasikin wetu ni ushamba wetu.
duu nyanya mwezi mzima tusio na mafridge tufanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora kula mgahawani(kama unaishi mwenyewe) kupika kunagharimu vingi.
 
Kuna siku nilisema ngoja nipike mwenyewe ubwabwa. Nilijuta.
Haujaivaa, umekuwa kama ugali, na nikaungua vidole nikaumwaga

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaaahaaaaaaa [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]....

Jamani wanaume kazi yenu ni kutafuta hela, jikoni mtuachie[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya hivi tafta nyanya ngumu ambazo zinastahmili kukaa kwa siku mbili tatu hasa nyanya mshumaa hua zinakaa sana, ukipika mboga pika size sio lazima uweke kwenye friji wawez pasha tu ukaacha kipoe ukafunika hakichachi wala nyama sjui samaki kama wameganda kama jiwe waweza zima friji hata siku moja tena vizur zaidi samaki ukawasafisha kuwatoa matumbo ndio uwwweke kwenyw friji me hua nafanya hivo nikishaona vimeganda wakat mwengine samaki au nyama ikiniishia kama nina juise au maji yan yakishapata baridi friji inazimwa hapo maji nimeeka size najua tukikaa mezani tukila yakinywewa mpaka asubuh nitakapoosha chupa nizijaze tena niziweke siachi liungurume tu
Nimeshangaa...hazimi friji likshagandisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote ni sahihi sema inategemeana tu na staili unavyoishi.
Mimi naona faida ya kula Mgahawani ni kutokuosha vyombo tu maana mimi nakaa pekeangu siwezi kupika vyakula vingi kwanza huo muda sina.
 
kupika home ni nafuu zaidi na nzuri kwa Afya kuliko mgahawani!! Sababu mimi nikinunua kilo 10 ya mchele, Unga kilo 5, maharage kilo 6, mafuta lita 5, na vizaga zaga vinginge nyanya, vitunguu maji,saumu,malimao,tangawizi,pilipili kwa ajili ya chachandu😁, kuku,nyama( ng'ombe,mbuzi) au samaki kwa fridge, nina gesi yangu labda mtungi mdogo au mkubwa,hapo natumia mwezi na kabisa.labda mara moja moja nanunua vitu ambavo ni perishable goods kama nyanya napo za jero au buku natumia siku 4..

imagine kila siku asubuhi mpaka jioni tuseme natumia elfu 4 kwa maisha ya kawaida kwa kiwango cha chini kwa mwezi ni kama 124,000...sasa hiyo nikihemea mazaga zanga si na chenji inabaki..

Vizuri kupika home!!
 
Msosi wa nyumbani mtamu kama unajua kupika lkn, halafu usafi asilimia nyingi kwa uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
yep kabisa..hii misosi ya magengeni/migahawani/ hotelini, ina mambo mengi sana..hawa wapo kibiashara lolote linaweza kufanyika..

Ila kupika nyumbani ndio best option...una ges yako na chakula chako ndani..haichukui saa moja na nusu umeshaivisha..
 
Back
Top Bottom