Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

inategemea na chakula, na je unajua kupika?
 
Kupika ni shida na ghali sana ysiangalie tu mahitaji kama gas au Unga hemu cheki na vitu kama muda utaopoteza bado kama sio mzoefu unakosa ile delicious au taste ya msosi
 
Huwa wanatumia maviungo mengi sana sio vile common tulivyovizoea ndio maana huwa linawatokea wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Very true witnessj unakumbuka pale tulipopapiga chini? mbaya zaidi unaweza kuona msosi umeiva kumbe ni maviungo tu yanadanganya. Vijiwe vya mtaani viko so local... so real... so natural ingawa nyie watu wa "classic" mnaviponda. Kwangu issue kubwa ni usafi tu otherwise nainjoy zaidi kitaa kuliko huko kwenye majina ya insta.
 
Ukipika geto kama una friji advantg nikwamba utakula chakutosha alaf pia utahifadhi kam umepik mboga 3 unawez kuzitumia siku ata 4, matunda nayo kweny frij hayaaribiki


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhhhh! Ukweli kula kwenye mgahawa kuna kutumia fedha nyingi zaidi! vijana wa sasa msidanganyike, mimi ni kijana wa zamani umri wangu ni = 50+ ukiniona uwezi amini, pamoja na kwamba ninaye wife, ila mala kadhaa wife anapokuwa mbali nami kutokana na majukumu yetu ninajipikia mwenyewe home. Chakula cha kujipikia ww huwa kinakuwa na lishe bora+Usafi n.k. niliacha kula kwenye mahoteli na migahawa baada ya kugundua ya kwamba humo kwenye vyakula vyao baadhi yao wanatumia maji yaliyochanganywa na maji ya k*m* ili kuvuta wateja na madawa mengineyo ya kienyeji, wengine huwa wana mix na amira ili chakula kiwe kingi.hata ukibisha huo ndiyo ukweli.
Mkuu hivi maji ya K ni uhakika?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hili jambo karibia wengi tuliopitia ubachela na hatukuwa tunaishi na wazazi basi tumelipitia sana.

Kipi kinamaliza sana pesa ?
Watu wengi wanafikiri kula mgahawanini rahisi sana kuliko. Kupika mm na taka kusema no.
Kupika chakula chako ni rahisi sana kuliko kununua Sema tu ili uweze kuwa ktk position yakujipikia na usile mgahawani unaitaji kuwa na capital ya maandalizi ambayo in long run itakulipa.
Nilazima tukubaliane yapo mambo ya hatari kula kwenye mgahawa na moja wapo kubwa sana ni magonjwa yakuambukiza au yasababishwayo na chakula. Gharama ya chakula haitokan na wingi au. Ukubwa wa chakula ila conten iliyo anda hicho chakula. Chakula cha 1000 hakiwezi kuandaliwa na mafuta mazuri hapa namanisha mafuta yenye ubora. Pia hata mpishi hawezi kuwa na watu wazuri ktk mapishi hapa ndipo unakuja kugunduwa watu wanao kula hovyo wana patwa magonjwa ya ajabu sana na hili limethibitishwa na madaktari.

Unaweza kuokoa pesa nyingi ktk. Kujipikia kuliko kupikiwa ukiwa mwenye akili na ubunifu ktk mapishi thanks God now a dya teach imekuwa kubwa sana kiasi kwamba mtu anaweza jitengenezea break fast na luch box yake home sweet home.

Maitaji makubwa sana ktk kujitengenezea msos wako mwenyewe ni
Frige,
Jiko la gas
Na vifaa vya kuifadhi chakula.
Ili uweze pika chakula chako mwenyewe ni lazima uwe na tabia kununua vitu vyako ktk bei ya jumla namanisha nn hapa kwa wale waliopo dar badala yakununua vitu kwa mangi gengeni jiwekee tabia kununua vitu buguruni sokon au kariakoo nahapa. Penda kwenda asubuh sana. Ukienda asubuh vitu ni fresh na huwa vinauzwa kwa bei nafuu.
Mfano mzuri nipale mm naweza tumia nyanya za Tsh 3000 mwez mzima na siri ni moja nanunu kwa bulk sokoni. Mkate wa Tsh 3000 natumia wk zima na siku moja. Nikijumlisha gharama za Kujipikia na kununua mgahawan Napata faida kubwa sana ikiwemo afya yangu Siwez pata homa ya main au mapafu, kifuwa kikuu maana nakula nacho pika mwenyewe tena natumia alizeti.
Kwa week na save almost 60,000/ nina amini ktk kujiwekea saving kwa kupunguza exp ambazo sio za msingi.
Ofisi inatoa maji hivyo nakunywa maji mengi ofisin huku nikienda na yalio baki home.

Naamka Usiku kuandaa breakfast yangu na lunch ya mchana kiukweli namuona Mungu ktk. Haya yote.

Ndio maana some of the richest people wanakula home na hawanunui maotelini pamoja na utajiri walio nao.

Familia nyingi za kiafrika na Tanzania watu wanakula maofisi na kiukweli wanapata umasikin wa mwaka hata kama wao wanaona hakuna hasara. Embu tafakari boss anaye enda pata lunch sheraton anatumia Tsh ngapi?

Maofisi mtu analipwa Labda 500k anakula msosi Tsh 7000 je kuna maendeleo hapo? Umasikin wetu ni ushamba wetu.
 
Ukipika geto kama una friji advantg nikwamba utakula chakutosha alaf pia utahifadhi kam umepik mboga 3 unawez kuzitumia siku ata 4, matunda nayo kweny frij hayaaribiki


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu friji siku nne liko on manake pesa ambayo unasave kwenye chakula si ndo unazidi kuitumia kununua umeme?
 
Watu wengi wanafikiri kula mgahawanini rahisi sana kuliko. Kupika mm na taka kusema no.
Kupika chakula chako ni rahisi sana kuliko kununua Sema tu ili uweze kuwa ktk position yakujipikia na usile mgahawani unaitaji kuwa na capital ya maandalizi ambayo in long run itakulipa.
Nilazima tukubaliane yapo mambo ya hatari kula kwenye mgahawa na moja wapo kubwa sana ni magonjwa yakuambukiza au yasababishwayo na chakula. Gharama ya chakula haitokan na wingi au. Ukubwa wa chakula ila conten iliyo anda hicho chakula. Chakula cha 1000 hakiwezi kuandaliwa na mafuta mazuri hapa namanisha mafuta yenye ubora. Pia hata mpishi hawezi kuwa na watu wazuri ktk mapishi hapa ndipo unakuja kugunduwa watu wanao kula hovyo wana patwa magonjwa ya ajabu sana na hili limethibitishwa na madaktari.

Unaweza kuokoa pesa nyingi ktk. Kujipikia kuliko kupikiwa ukiwa mwenye akili na ubunifu ktk mapishi thanks God now a dya teach imekuwa kubwa sana kiasi kwamba mtu anaweza jitengenezea break fast na luch box yake home sweet home.

Maitaji makubwa sana ktk kujitengenezea msos wako mwenyewe ni
Frige,
Jiko la gas
Na vifaa vya kuifadhi chakula.
Ili uweze pika chakula chako mwenyewe ni lazima uwe na tabia kununua vitu vyako ktk bei ya jumla namanisha nn hapa kwa wale waliopo dar badala yakununua vitu kwa mangi gengeni jiwekee tabia kununua vitu buguruni sokon au kariakoo nahapa. Penda kwenda asubuh sana. Ukienda asubuh vitu ni fresh na huwa vinauzwa kwa bei nafuu.
Mfano mzuri nipale mm naweza tumia nyanya za Tsh 3000 mwez mzima na siri ni moja nanunu kwa bulk sokoni. Mkate wa Tsh 3000 natumia wk zima na siku moja. Nikijumlisha gharama za Kujipikia na kununua mgahawan Napata faida kubwa sana ikiwemo afya yangu Siwez pata homa ya main au mapafu, kifuwa kikuu maana nakula nacho pika mwenyewe tena natumia alizeti.
Kwa week na save almost 60,000/ nina amini ktk kujiwekea saving kwa kupunguza exp ambazo sio za msingi.
Ofisi inatoa maji hivyo nakunywa maji mengi ofisin huku nikienda na yalio baki home.

Naamka Usiku kuandaa breakfast yangu na lunch ya mchana kiukweli namuona Mungu ktk. Haya yote.

Ndio maana some of the richest people wanakula home na hawanunui maotelini pamoja na utajiri walio nao.

Familia nyingi za kiafrika na Tanzania watu wanakula maofisi na kiukweli wanapata umasikin wa mwaka hata kama wao wanaona hakuna hasara. Embu tafakari boss anaye enda pata lunch sheraton anatumia Tsh ngapi?

Maofisi mtu analipwa Labda 500k anakula msosi Tsh 7000 je kuna maendeleo hapo? Umasikin wetu ni ushamba wetu.
Umefafanua vizuri mkuu.ila mimi niulize tu kwaamba friji ikikaa on mwezi mzima cpst yake ikoje kwenyr umeme?
Hapo hatujapigia hesabu mambo mengine yanayokula umeme.hilo friji ambalo tunalitumia kutunza vyakuls ili kusave pesa jee hizo tunazosave haziishii kwenda kununua umeme ambao utawezesha vyakuls vikae kwenye friji?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]...hivi ule mchemsho wa samaki tuliokula pale The G..T Park juzi uliuonaje?

Wanaweka nako maji ya K?

Kuna mdau hapo juu kaniogopesha Sana[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app

Wale jamaa ni wataalam wa mapishi hakuna maji ya K pale ningekuambia. Si unaiyonaga ile nyomi ya kufa mtu? this weekend nitakupeleka K mboni kuna chimbo la hatari lazima udate.
 
saiv mm nimedum wiki nzima nakula zangu mihogo, na boga nanunua napika za siku mbili.. very cheap lkn ukitaka mambo mengi ni cost. but home unakula unachokitaka
 
Back
Top Bottom