witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Msosi wa nyumbani mtamu kama unajua kupika lkn, halafu usafi asilimia nyingi kwa uhakikaUzuri wa kujipikia unapata kiporo cha kula asubuhi,ila mi napenda zaidi kujipikia na siku nikishinda home hasa weekend napika msosi kama ifuatavyo
Asubuhi
Nanunua samaki wa elfu 3 sangara namkata vipande 4 vitatu nakaanga
Kichwa natengeneza mchemsho wa viazi na samaki for breakfast
Mchana
Napika wali ambao nakula mchana,usiku na kesho asubuhi
Mboga ni wale samaki niliokaanga
NB: Huwa ninanunua stock ya kutosha mchele,mafuta,viazi vitunguu mi nakua na gharama tu ya mboga mwezi nzima
Kupika unaenjoy na unakula msosi wa kushiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app