Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Mimi tangu niko kwa mama mpaka nimeenda kwangu sina desturi ya kununua kitafunwa asubh na nikinunua ujue nina ham nacho na sana mihogo au vitumbua vinginevyo hua napika jioni vya asubuh au kama ni weekend naamka mapema napika tu asubuhi bajeti za jero jero zinapungua
Mkuu siku zikinikaa napiga supu ya ngombe na tule tumafuta yake ya juu A.K.A LAYER ambayo inag'aa sana mpaka naifanya kioo pale kwa sababu najiona.
Ila siku zingine napata muhogo wa 500 na dagaa 500 na vhai ya 100 mchezo umeisha...