Kabisa mkuu...Mambo ya kula misosi imemikisiwa na maji ya K daaah!yep kabisa..hii misosi ya magengeni ina mambo mengi sana..hawa wapo kibiashara lolote linaweza kufanyika..
Ila kupika nyumbani ndio best option...una ges yako na chakula chako ndani..haichukui saa moja na nusu umeshaivisha..
😁😁😁 huwa kuna mambo mengi watu hawajui tu...mara muhudumu anakuletea chakula huku ana mafua, hajapiga bafu, wengine kwenye kusonga ugali jasho anamimina humo...😁Kabisa mkuu...Mambo ya kula misosi imemikisiwa na maji ya K daaah!
Utashangaa mikosi inakuandama tu[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mi friji naisafisha baada ya siku mbili...
Ni na lazima uisafishe often ili kuondoa mold...vinginevyo unajitafutia maradhi!
Sent using Jamii Forums mobile app
kupika home ni nafuu zaidi na nzuri kwa Afya kuliko mgahawani!! Sababu mimi nikinunua kilo 10 ya mchele, Unga kilo 5, maharage kilo 6, mafuta lita 5, na vizaga zaga vinginge nyanya, vitunguu maji,saumu,malimao,tangawizi,pilipili kwa ajili ya chachandu😁, kuku,nyama( ng'ombe,mbuzi) au samaki kwa fridge, nina gesi yangu labda mtungi mdogo au mkubwa,hapo natumia mwezi na kabisa.labda mara moja moja nanunua vitu ambavo ni perishable goods kama nyanya napo za jero au buku natumia siku 4..
imagine kila siku asubuhi mpaka jioni tuseme natumia elfu 4 kwa maisha ya kawaida kwa kiwango cha chini kwa mwezi ni kama 124,000...sasa hiyo nikihemea mazaga zanga si na chenji inabaki..
Vizuri kupika home!!
Thanks!! Umeniongezea Madini hapo!!Uko sahihi kabisa sasa hapo me sinunui unga kg 5 nachofanya ili niende mda mrefu zaidi nanunua unga kg 25 ngano hivohivo mchele kg 20 maharage kg10 sukari kg 5 mafuta ni kindoo nina gas mtungi mdogo nina mkaa gunia zima nyanya nanunua kg 2 vitunguu naenda mwenyewe sokoni hapo vya buku vinaenda hata mwezi ni vingi sana vitu ambavyo havidumu sana ni karot na hoho so nanunua za kunisogeza nazi zangu za elf tatu nyama sjui samaki nakuja weka ndani hapo ninakaa sana hata bajeti nayoachiwa naibana vizuri tu na maisha yanaenda ukiwa unafanya hivv ni muda tu ukae upike basi zile movement za kwenda magengeni na dukani hata hazipo labda mboga za majani ssna hizi ndio zinanipeleka huko gengeni au sokoni kabisa na nnakua na kikombe changu kile cha nusu maisha yanasogea
Thanks!! Umeniongezea Madini hapo!!
Alokwambia "vingi" nilimaanisha vyakula ni nani?Alikuambia tunapika vingi kama wanawake ni nani?
Kula nje asilimia nyingi lazima ujue kuwa unakula uchafu.. period[emoji16][emoji16][emoji16] huwa kuna mambo mengi watu hawajui tu...mara muhudumu anakuletea chakula huku ana mafua, hajapiga bafu, wengine kwenye kusonga ugali jasho anamimina humo...[emoji16]
Ulisafishe....utakuwa unakula fungus, mdogo mdogo utapata gonjwa kubwa!Daah mimi nna mwezi sijafungua friji baada ya kutoa samaki...
Ulisafishe....utakuwa unakula fungus, mdogo mdogo utapata gonjwa kubwa!
Jitahidi utenge mda hata kwa wiki mara moja!
Mi mwenyewe sikuwa najua hayo, ila niliambiwa na mzungu mmoja best yangu ktk storee za hapa na pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nashukuru kwa somo japo sina friji.Ulisafishe....utakuwa unakula fungus, mdogo mdogo utapata gonjwa kubwa!
Jitahidi utenge mda hata kwa wiki mara moja!
Mi mwenyewe sikuwa najua hayo, ila niliambiwa na mzungu mmoja best yangu ktk storee za hapa na pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeehey sangara wa elfu 3 ule asubuhi mchana na jioni? Mkuu uko mwanza nini??Uzuri wa kujipikia unapata kiporo cha kula asubuhi,ila mi napenda zaidi kujipikia na siku nikishinda home hasa weekend napika msosi kama ifuatavyo
Asubuhi
Nanunua samaki wa elfu 3 sangara namkata vipande 4 vitatu nakaanga
Kichwa natengeneza mchemsho wa viazi na samaki for breakfast
Mchana
Napika wali ambao nakula mchana,usiku na kesho asubuhi
Mboga ni wale samaki niliokaanga
NB: Huwa ninanunua stock ya kutosha mchele,mafuta,viazi vitunguu mi nakua na gharama tu ya mboga mwezi nzima
Kupika unaenjoy na unakula msosi wa kushiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap Mwanza aseeEeehey sangara wa elfu 3 ule asubuhi mchana na jioni? Mkuu uko mwanza nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kigamboni sehemu gani? Maana mimi nakaa huku huwa napata taabu sana ya misosi mizuriWale jamaa ni wataalam wa mapishi hakuna maji ya K pale ningekuambia. Si unaiyonaga ile nyomi ya kufa mtu? this weekend nitakupeleka K mboni kuna chimbo la hatari lazima udate.
Huna kweli?...unazingua wewe[emoji16][emoji23]Nami nashukuru kwa somo japo sina friji.
Umeongea fact mkuu.Kula nje asilimia nyingi lazima ujue kuwa unakula uchafu.. period
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa mkuu.Uko sahihi kabisa sasa hapo me sinunui unga kg 5 nachofanya ili niende mda mrefu zaidi nanunua unga kg 25 ngano hivohivo mchele kg 20 maharage kg10 sukari kg 5 mafuta ni kindoo nina gas mtungi mdogo nina mkaa gunia zima nyanya nanunua kg 2 vitunguu naenda mwenyewe sokoni hapo vya buku vinaenda hata mwezi ni vingi sana vitu ambavyo havidumu sana ni karot na hoho so nanunua za kunisogeza nazi zangu za elf tatu nyama sjui samaki nakuja weka ndani hapo ninakaa sana hata bajeti nayoachiwa naibana vizuri tu na maisha yanaenda ukiwa unafanya hivv ni muda tu ukae upike basi zile movement za kwenda magengeni na dukani hata hazipo labda mboga za majani ssna hizi ndio zinanipeleka huko gengeni au sokoni kabisa na nnakua na kikombe changu kile cha nusu maisha yanasogea
Dah mkuu hapana.Sahihi kabisa mkuu.
Kwa upande wangu suala la kula mgahawani huwa siliafiki kabisa ukizingatia masuala ya kiafya. Kuliko nitafute chakula mgahawani ni bora nikae na njaa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa mkuu.
Kwa upande wangu suala la kula mgahawani huwa siliafiki kabisa ukizingatia masuala ya kiafya. Kuliko nitafute chakula mgahawani ni bora nikae na njaa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app