Mkuu siku zikinikaa napiga supu ya ngombe na tule tumafuta yake ya juu A.K.A LAYER ambayo inag'aa sana mpaka naifanya kioo pale kwa sababu najiona.
Ila siku zingine napata muhogo wa 500 na dagaa 500 na vhai ya 100 mchezo umeisha...
Kuna sehemu huwa nanunua msosi weekend, wali nyama 3000/- mwingi kiasi kwamba nakula mchana na jioni.Aiseee?
Lakini mfano ukapika zako wali samaki mchana mpaka jioni ni gharama mkuu?
Yani mchele nusu 1000tsamaki+1500+mafuta+200+nyanya+500+vitunguu200=?
Hiyo nayo inakera sana yani.Kama hujanunua mkaa gunia ukanunue ule wa kupima hapo kama ges unayo kidogo nafuu sema ukiwa mwenyewe kama unaona sometimes utajitaji kujipikia unanunua vyakula unaweka ndani unavihifadhi vizur sku ukitaman msos wa mkono wako unajipikia
Ni kweli kama niko home siendi kibaruani naandaa msosi wangu wa nguvu natia kila kiungo ili nione tofauti ya kula mgahawani na kupika mwenyewe.Mimi tangu niko kwa mama mpaka nimeenda kwangu sina desturi ya kununua kitafunwa asubh na nikinunua ujue nina ham nacho na sana mihogo au vitumbua vinginevyo hua napika jioni vya asubuh au kama ni weekend naamka mapema napika tu asubuhi bajeti za jero jero zinapungua
Ahahhaha we hatari mkuu.Kuna sehemu huwa nanunua msosi weekend, wali nyama 3000/- mwingi kiasi kwamba nakula mchana na jioni.
Hiyo nayo inakera sana yani.
Nakumbuka nilikuwa nanunua maziwa chupa ya drop kwa alfu mbili.alafu hapo hapo nakunywa siku nne ila napata gharama ya kuyaweka kwenye friji na friji yangu inakulaga umeme.
Nikaona upumbavu huu natumia unit nyingi kwa siku kwa ajili ya kuhifadhi maziwa ya buku?
Nikaachilia mbali nikawa nachukua nusu nusu kila siku na friji nikawa nawasha wife akiwepo natia mazagazaga kibao.
Mahesabu bwana
Unanunua take away tuAhahhaha we hatari mkuu.
Mimi kuna kipindi nilifulia fulia ikawa nikienda mgahawani naenda na mfuko,nikila ugali ukibaki nautia kwenye mfuko.usiku nataftia dagaa wa jero nalala.
Ni kweli kama niko home siendi kibaruani naandaa msosi wangu wa nguvu natia kila kiungo ili nione tofauti ya kula mgahawani na kupika mwenyewe.
Siku moja nimepika mboga nikatia mbwembwe kitunguu saumu kizima nikatia kwenye mboga.
Bwana bwana bwana daaaah
Supu chapati[emoji3][emoji3][emoji1787]Hakika ila hapo juu umesema asubuh unatumia elf 2 ya nn uko peke yako?
Ni kweli kabisa. Kwa kifupi hakuna formula kuwa kupika (X) au kula mgahawani (Y), basi tendo X ni ghali zaidi ya Y. Kuna factors nyingi za kuzingatia. Vitu kama location, unapika/kununua chakula gani na mko watu wangapi vinaweza kubadili kabisa cost. Hata amount ya chakula unachopika vile vile.Inategemea uko wapi, unakula nini mgahawani na ukipika unapika nini.
Kuna mahali kula mgahawani ni anasa sana kuliko kupika. Kuna sehemu kula mgahawani ni impossible future tense.
Kuna time nilikuwa nasoma ka nchi flani ulaya. Yaani ukifanya kula wali na mchuzi ni Euro 6 (tshs 16,200) aisee acha kabisa
Supu chapati[emoji3][emoji3][emoji1787]
Sent using my Nokia Torch
Hapana, ningekuwa sishibi ningenunua tenaUsiku lazima uamke mkuu
Sasa mi mwanaume nikande ngano?Mimi tangu niko kwa mama mpaka nimeenda kwangu sina desturi ya kununua kitafunwa asubh na nikinunua ujue nina ham nacho na sana mihogo au vitumbua vinginevyo hua napika jioni vya asubuh au kama ni weekend naamka mapema napika tu asubuhi bajeti za jero jero zinapungua
Acha utaniElf mbili kubwa sana kutumia tu asubuh hasa ukiwa peke yako
Mkuu ilikuwa ni mchuzi wa samaki.Ahahahaahha ilikua mboga gani??? Uliila au ulimwaga
Acha utani