Kula mke wa mtu ni sawa na kula malaya

Je na sisi mafundi bomba / ujenzi mnatuachaga na wake zenu nyumbani.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja naona anajileta siwezi kumuacha huyu nakufa naye
 
Ila wewe kutukana watu kila ukijisikia ni haki kwako
 
Ndio wazuri, wanatoa nyuma sana.
 
Thamani ya mwanaume inapungua kulingana na idadi ya wanawake alio zini nao na inapungua zaidi kwa kudate na mke wa mtu hata kama uwe unaheshimika vipi
 
Sahihi Kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…