FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
FL1 unatutamanisha na huyo samaki
Mi ninavyojua mila za huko, samaki analiwa upande mmoja, ukifika kwenye mwiba wa kati huutoi ila unamgeuza na kuanza kula upande wa pili.
Ndo hivo mnene 1 hili shurti ni lenyewe hasaaa huku kwetu Pwani...