Kula samaki: Ushauri

Kula samaki: Ushauri

november juliet oscar oscar november yank uniform mike bravo alfa november india november india kilo uniform papa india kilo india echo
he he he Stay tuned will PM U soon
 
november juliet oscar oscar november yank uniform mike bravo alfa november india november india kilo uniform papa india kilo india echo


thanks u r so caring! tutado ze nidiful
 
kaizer,
hivi dagaa nao ni samaki?

we mpwa bana..ukitaka awe samaki poa tu lakini mi namzungumziasamki kama wa FL1 apa

huwa unamlaje au hujafika pemba? lol
 
Weye wataka kula samaki au SAMAKI? yule wa off-side trick? Kula ni kula kama ni chakula labda wataka kula vinginevyo, shauriro
 
mle samaki huyo vyovyote vile unavyomuona anazidi utamu kama ni kumla huku ukiwa umemsimamisha, au umemlaza kwenye ubavu wake mmoja n.k. lakini ukizoea kula sana samaki ujue kitoweo kingine unaweza ukakinai kabisa. Mle thamaki wako kwa furaha inaelekea thamaki huyo hana miba kabisa.
 
Hivi samaki ni amphibia au reptilia?

Kwanza nianzie hapo....!
 
mila na desturi za kumla samaki naomba uwaulize OFFSIDE TRICK walioimba wimbo wa samaki na ule wimbo matata wa bata....................................
habari ndo hiyo..................
 
Haa haa, hasa si ndio tunatafuta ufundi wa kumla huyo samaki? kama ni yule mwenye mwiba unaoonekana, unatoka vizuri tu wala hauna shida.....Though I don't practice what I preach, nakula penye mnofu nnapopaona, uongo?


Dina kweli Dina penye mnofu na paliponona ndo penyewe
 
toka lini ngozi ya....ikawambwa ngoma hee kama si mijujiza ni nini yeleleyelele nimekumbuka mbali Chripin ...
wakati unani tumia ile naniliu nilikuwa kwenye adhabu ya viboko meatu ... pls
 
Si unatumia mikono na mdomo...au???
 
naombeni ushauri njia ipi bora ya kumla samaki hasa katika mazingira hayo?:

Mpwa huko samaki ati ageuzwa upande huu na upande ule.
Usitoboe mifupa mpwa shurti ule pande zote.
 
Back
Top Bottom