Kula samaki: Ushauri


Karibu kwenye kisiwa cha Furukobe......kuna samaki na bata!
 
kwa nini Dina..mi nimetoka bara ndo maana.....nilikuwa namgeuza tu ndo nimestuka...

Isije ikawa umeenda na joho huko yakheeeeeeeeee, angalia usije rudi na kilembaaaaaaaaaaa
 
huyu shurti lake akiliwa upande mmoja unageuzia mwigine ..hata kichwa kinaliwa binamu ..ikiwezekana na mifupa kama meno yako ni meupe na yenye nguvu ..kwa raha zako

Mmmmh! Hivi ina JF hakuna Jukwaa la Mapishi na Vyakula? Mimi mwenzenu mgeni huku Pwani, lugha zenu sizielewi.
 
kula samaki kwahitaji nafasi na samaki uliwa pande zote mbili na ukitaka kumla samaki usiogope shombo
 
aaah jamani ......mambo ya vijana mengi????????!!!!!!!!!
huku kama samaki lakini kumbe.....................dah hii dunia cjui inakoelekea
 
Pole pole wajameni samaki wa Pemba siyo huyo wa bara!!!Kuweni makini na lugha ya ughaibuni.Haya ni mambo na vijimambo vya Pwani ya Mashariki,walikotua waarabu na mila zao!!Sisi wa Mrima twayasikia tuu ,Tukijitia kuyajua wallahi yatatushinda!! Mie nachelea kutia neno katika hili la kumla samaki wa Pemba atiii!
 
samaki aliwa kiubavu ubavu atii si si waanzia nyuma wala mbele
 
Samaki wa kubanika au wa kuunga na nazi? :confused3:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…