Kula samaki: Ushauri

hahaaa Preta acha fix jamani lol!!!

unataka nife kwa kucheka sasa.............

ndo ngadu huyo....ina maana kule ziwa Duluti hujawahi kuwaona?
 
Mhhh Kaizer kwani wewe ulimlaje huyo samaki?
 
Huyu Ngadu sidhani kama analiwa kwa usalama huyu Preta .......................
anawafaa wewe na PJ

nilimwambia PJ twende tukale ngadu akasema eti ni nyoka...jamani jamani
 
Kaizer kwani kule nyumba ya MUNGU hakuna samaki kaka? mbona unawezakula kama ulavyo kwenu? Au ndo mambo ya ukienda Roma eh?

Haya umepewa majibu hapo juu
1. Ule ikisha umgeuze
2. Umle ikisha toa ule mfupa wa kati ili uendelee kula upande wa pili.

hahahah haya mie yangu macho.
 
mh yangu macho hapa mwisho wa ck nitapata somo na mm
 
Hivi ni samaki kama samaki au ni mawazo yangu potofu?lol
 
shetani kaingia kwenye jamvini wajameni! mazungumzo gani ya taarabu haya?
 
Mhhh Kaizer kwani wewe ulimlaje huyo samaki?

Nilimgeuza mara ya kwanza, sikuwa najua, nikamgeuzia upande wa kushoto...we wakantolea macho hao!
 

Mi kwa utaratibu wa kawaida, nilimgeuza..lakini naona sio,

sasa hii ya kutoa mfupa wa kati bila kumgeuza si nitajikuta upande wa pili vile vile ama kinachosumbua ni namna ya kufikia upande wa pili?

miss you!
 
Pretaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wewe ndo maana Babla yuko sambamba na wewe !!

LOL FL1 hujaona alivomnasa kibao siku ile..Preta hataki mchezo siku hizi! nifungie basi yule samaki ni do ze nidiful
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…