Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Sisi wa bara tukila huo kachakula,,hata jembe hatuwezi nyenyua hakaleti hata tunguvu,,
 
Tangulia bafuni kwanza nikukogeshe halafu mengine yatafuata kulingana na utashi wa ngozi zetu zitavokuwa.....

Zikitaka tule kwanza tutakula, zikitaka tulishane pia itakuwa....[emoji28].

View attachment 1714975
Weee Kasie mahaba weee!!

Af unajua sikuhizi nimetemgeneza imagination mpya nakuona kama Mbilia bel(yule mwimbaji)..unamjua?,if yes,niko karibu asilimia ngapi?
 
Huyo ni machinga, bado anatafuta maisha hafai kujihusisha na mapenzi hadi akikuwa na kuongeza kiwango cha kuhonga.


Ila kwa upande wangu, hakuna utamu naupata kama nikitongozwa na nikihongwa hela uuuuhhh [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hhhhh hapana kwa kweli wengine hatuna hela ya kuhonga
 
Weee Kasie mahaba weee!!

Af unajua sikuhizi nimetemgeneza imagination mpya nakuona kama Mbilia bel(yule mwimbaji)..unamjua?,if yes,niko karibu asilimia ngapi?


Daaaahhh......!!!!! πŸ˜ƒ


Kuna mtu ashaunguza picha mahala.....!

Well, hauko mbali sana, mulemule na avatar πŸ€“.
 
Naona mboga leo imeseti mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…