cyrustheemperor
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 293
- 354
Asee[emoji867]
Ohoooo Aya Mama !!Hujakosea hata.....
Ni ubwabwa usio na mafuta wala chumvi
Na umeiva kwa mvuke, haujatiwa maji hata kidogo.
Kuna wenye fani zao, mapishi. Mie napika kwa nadra sana walau gesi isije ikaeksipaya kabla sijaipikia [emoji12].
Funga safari unitembelee, kipindi chote cha kunitembelea, Nitakupia kila siku usikuWe unajua kupika
Sitaki kuharisha mimi akuuuFunga safari unitembelee, kipindi chote cha kunitembelea, Nitakupia kila siku usiku
Weee thubutu ,unaanzaje wakat ndan kuna kaduka ka madawa kadogo dogo kakutosa wanafamilia na wagenSitaki kuharisha mimi akuuu
Bado hujanishawishiπWeee thubutu ,unaanzaje wakat ndan kuna kaduka ka madawa kadogo dogo kakutosa wanafamilia na wagen
Msosi huoNdo kwaanzaaaa tarehe moja....
Mwezi bado mchangaaaa...!
Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....
View attachment 1714950
Laaambwaaa laaambwaaaa
Lambwatikaaaaa....
Maharage yako jikoni nimeshayapika....
Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.
Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.
Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani π
Kasinde Matata π.
Mrudishe binti yetu tumtafutie mwanaume mwingine wa kafanana naye...Aahahahahahhahaa
Usiniambie umemshindwa.....
Kuna mawili, nimrudishe mjukuu unyagoni au nikirudishe wewe jandoni kwa babu ODM Asprin π€ͺ.
Kwetu sisi ni takataka, tunakula Ugali wa udaga na SatoNdo kwaanzaaaa tarehe moja....
Mwezi bado mchangaaaa...!
Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....
View attachment 1714950
Laaambwaaa laaambwaaaa
Lambwatikaaaaa....
Maharage yako jikoni nimeshayapika....
Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.
Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.
Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani π
Kasinde Matata π.
Kweli IMO?Na vingine vingi tuu, ila hiyo pia imo. ππ