Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula kilikuwa kitamu ila hakizidi mpishi!
Lips zetu zipo wap??πWachaaaaa
Nimemuachia babe wangu azikuleLips zetu zipo wap??π
Daah umepelekea chako chakeπNimemuachia babe wangu azikule
ππππbabu akienda job nistue nije jandoπAahahahahahahhahaaaa loooh ππ½ππ½ππ½
Punguza unoko πDaah umepelekea chako chakeπ
Hapo sawa maana nikasema mbona ugali umesambaaUbwabwa ππππ
Ikiwa kwa mkeo au mchepuko!! Ukiona kamsosi kadogo kazuri kana mapambo meengi!! kama haka mwanaume stuka , nakwambia tena stuka!! sijakosea!! ile kusema tu haaa!!Ndo kwaanzaaaa tarehe moja....
Mwezi bado mchangaaaa...!
Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....
View attachment 1714950
Laaambwaaa laaambwaaaa
Lambwatikaaaaa....
Maharage yako jikoni nimeshayapika....
Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.
Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.
Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani π
Kasinde Matata π.
Ikiwa kwa mkeo au mchepuko!! Ukiona kamsosi kadogo kazuri kana mapambo meengi!! kama haka mwanaume stuka , nakwambia tena stuka!! sijakosea!! ile kusema tu haaa!!
''Mmmm! mbona msosi umepambwa vizuri hivi?? ndo mambo ya limbwata nini???'' km amefanya kitu humo chakulani!! heee!!! hilo limbwata limevia halifanyi kazi tena!! tena huyo mwanamke atakuchukia milele!! si kawaida. jaribuni!!!!
nitawafundisha jinsi ya kuzindika jiko.