Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi


director ITV ni mama Joyce Mhavile huyo Klyn Na dada ake walikua wanasimamia dr Mengi Foundation hiyo walipewa kama urithi wao 😅😅😅kwa hiyo hana kazi tena pale ya kufanya naona na wadau wamegoma kuchangia hiyo foundation kwa Sababu inaongozwa na wapigaji dada na ndogo wake

Kama ile foundation ingekua inasimamiwa na mke original ( Mama Mercy) au watoto wa marehemu ingeleta Mvuto Na heshima na wadau wangechangia
 
Mama joyce ni mkurugenzi wa uendashaji, wa itv na radio one ila CEO ni dada huyo ndio maan kulikuwa na malalamiko kuwa nafukuza kazi sana watu aliwakuta nawaliotoa kampuni mbali

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Mama joyce ni mkurugenzi wa uendashaji, wa itv na radio one ila CEO ni dada huyo ndio maan kulikuwa na malalamiko kuwa nafukuza kazi sana watu aliwakuta nawaliotoa kampuni mbali

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

kyln hajawai kua na nguvu ya kumfukuza mtu kazi hacha Kumpaisha kwa story za kusikia vijiweni , Nina uhakika mara ya mwisho ameingia ITV labda wakati anaimba kwenye interview hajui hata kunafananaje
 
kwani huyo mo dewdi hana ke. flaviana nae ndoa ilikufa lini
 
Amalize tu kutapanya mpunga wa The late mengi then Arudi mzigoni kuwinda mana Hao type ya kina jaq wenyewe ni wanajiona classic sana unawakuta na vinote book vyao na Files za kuzugia Hyatt Regency au Sea cliff wanazuga zuga tu kuwinda wanasahau age nayo inasogea sasa ivi mtu kama wema ata 300k huwezi kutoa tena
Wakati kipindi chake cha peak bila 1M above na Hotel ya kuanzia 3 stars kwenda juu hatoi uchi now ata Guest yenye panga boy juu unakamua tu hata kwa 100k
 
Hahaaa eti guest ya panga boi
 
Kulalekiii😂
 
Shida biashara yake Ali target high class people lazima tu idorore, tofauti na kuanzisha biashara inayotumiwa na watu wengi

Kabisa biashara uki target matajiri tu mmh haswa ya furniture itakudodea tu walau restaurant... maana furniture matajiri wengi wananunua nje yeue furniture zake zilikua zinafika mpaka 30M
 

Yeye akili ya biashara haya na pia watu wakumbuke biashara ni kipaji kama huna hicho kipaji hata upewe mabilioni yatakufa tu.. ingekua ni mimi nina akili kama hizo zake ninge invest tu kwenye property tu angekua na apartment zake kama 20 ligorofa limoja bs anakusanya kodi biashara haina upasua kichwa na ufatiliaji rahisi
 
Acha kusoma story za mtandaoni, na uache umbea pia...ninamjua aunty ezekiel, long way kabla hajampiga chini jacky pemba, huwezi kumtomba kwa laki, kwanza huwezi kumtomba kama hajakuelewa
Eti unamjua aunt ezekiel. Acha ujinga dogo.

Sasa nani hamjui Huyo aunt ezekiel.
 
Nikajua kuna cha maana unachotaka kuongea kumbe na wewe njaa tu inakusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…