Kulalamika kwa SGR kuhusu kuhujumiwa ni management failure!

Kulalamika kwa SGR kuhusu kuhujumiwa ni management failure!

Wabongo hao hao wanaosema mradi utakufa mapema ndio hao hao wanahujumu mradi kwa kukata tiketi ya Morogoro kumbe anaenda Dodoma.
Tatizo letu ngozi nyeusi nadhani limo ndani ya DNA zetu. Vitu vizuri havitufai.

Unakaa kwenye bus zuri la mkoani unakuta mtu kaandika maandishi makubwa kwenye kiti ~eti chatta.

Unaingia choo cha public (stand) unakuta mtu mzima na akili zake kamaliza haja zake kisha katupa boonge la jiwe au gunzi la mahindi ndani ya lile sinki ! Unabaki unajiuliza hivi huyu aliyefanya hivi ana akili timamu kweli?

Mtu mzima na akili zake timamu anaamua tu kung'oa (kuharibu) kitasa cha mlango wa lodge kisa tu kalipa hela nyingi!!

Ngozi nyeusi na vitu vizuri na kama maji na mafuta
 
Hii habari nimeiona wasafi.
Takukuru wameibua hujuma za wateja wanaokata ticket za masafa mafupi kisha wanasafiri masafa marefu!!

Kwanza ncheke😂😂😂😂
Ni kweli tumefikia huku yaani kaishu kadogo hivo hadi takukuru igundue Uongozi wa Treni haujajua?
Na kwwnini iwe ishu wakati ni vitu ambavyo huwa vinajulikana?

Kwa uzoefu wangu wa mabasi
Ukikata ticket njiana inaeleweka kituo fulani siti zitakua Empty maana abiria idadi fulani watashuka.
Kwaiyo mkata tiket mwingine wa kituo hiko anakata tiket ya hizo siti.

kwaiyo kama Kuna wizi lazima siti moja iwe na abiria watatu au wawili kitu ambacho lazima mwizi aonekane.

Plus kila kituo inajulikana idadi ya abiria wanaoshuka
Kila kituo inajulikana idaid ya abiria wanaopanga.

Kifupi hii ishu ya wizi wa kizamani hii sijawai iona miaka hii isipokua niliona kwene hizi gari za TATA hzi zinaendaga vijijini huko kusiko na rami hawa ndo wakogo zig zag!!

Labda mfumo gani mgumu ambao unafanya abiria awe mjanja kuliko wasimamizi.Mliopanda treni mniambie

NB: Yaliyopo hapa ni mawazo yangu binafsi hayanalengo la kukosoa wala kutuhumu.Kifupi nawaza kwa sauti.



View: https://youtu.be/EieA3JToNEc?si=2fh898kEEPlNaYrY

Uzembe wa kijinga kabla ya rail kujengwa walikuwa na muda mrefu wa kujiandaa.. fukuza kazi hao.... kwanza wizi huo ni wa kizamani mno even mabasi ya Uda na Kamata yalikuwa na ma inspector wakikagua tiketi kila tren linapoondoka na kuwabaini wasio kuwa na ticketi za kushukia vituo husika...

And Treni ndie mgunduzi wa kwanza kuwa na Ma TTE

Labda watuambie walikataa kuwapa ajira hao wazee wakaguzi wa ticket na suti zao kaunda
 
Huu ndio unaofanyika kwene mfumo wa magar ya mwendokasi!!

ila walichoongelea hakimake sense hata kidogo
Sure.

Mfano pale stesheni ya MGR kuna wizi sana, pesa nyingi haiingii serikali kupitia zile control number ambazo unapewa fasta na kwenda kulipia kwa wale wenye vibanda pale pembeni.

Hao PCCCB wameingia huko kama kujiburudisha tu, hicho wanachosema wananchi ndo wizi siyo kweli bali ni mfumo ndiyo unaiba na ulianza toka walipoambiwa "urefu wa kamba"
 
Hii habari nimeiona wasafi.
Takukuru wameibua hujuma za wateja wanaokata ticket za masafa mafupi kisha wanasafiri masafa marefu!!

Kwanza ncheke😂😂😂😂
Ni kweli tumefikia huku yaani kaishu kadogo hivo hadi takukuru igundue Uongozi wa Treni haujajua?
Na kwwnini iwe ishu wakati ni vitu ambavyo huwa vinajulikana?

Kwa uzoefu wangu wa mabasi
Ukikata ticket njiana inaeleweka kituo fulani siti zitakua Empty maana abiria idadi fulani watashuka.
Kwaiyo mkata tiket mwingine wa kituo hiko anakata tiket ya hizo siti.

kwaiyo kama Kuna wizi lazima siti moja iwe na abiria watatu au wawili kitu ambacho lazima mwizi aonekane.

Plus kila kituo inajulikana idadi ya abiria wanaoshuka
Kila kituo inajulikana idaid ya abiria wanaopanga.

Kifupi hii ishu ya wizi wa kizamani hii sijawai iona miaka hii isipokua niliona kwene hizi gari za TATA hzi zinaendaga vijijini huko kusiko na rami hawa ndo wakogo zig zag!!

Labda mfumo gani mgumu ambao unafanya abiria awe mjanja kuliko wasimamizi.Mliopanda treni mniambie

NB: Yaliyopo hapa ni mawazo yangu binafsi hayanalengo la kukosoa wala kutuhumu.Kifupi nawaza kwa sauti.



View: https://youtu.be/EieA3JToNEc?si=2fh898kEEPlNaYrY

Yaaaaan nashangaaa mpaka takukuruu wajee ndiooo mnasemaaaa tunaanza kuweka inspectors aisee
 
Waweke utaratibu wa ku-swap unapotokea kituoni! Mbona rahisi? Ina Masanja mpaka TAKURURU wamfundishe?
 
Sure.

Mfano pale stesheni ya MGR kuna wizi sana, pesa nyingi haiingii serikali kupitia zile control number ambazo unapewa fasta na kwenda kulipia kwa wale wenye vibanda pale pembeni.

Hao PCCCB wameingia huko kama kujiburudisha tu, hicho wanachosema wananchi ndo wizi siyo kweli bali ni mfumo ndiyo unaiba na ulianza toka walipoambiwa "urefu wa kamba"
MAKONDA ALIKUTANA NA KAMPUNI IMESAJILIWA WANADAI YA HALMASHAURI NA PESA ZINALIPWA HUKOO KWA CONT NO AISEE

MFANYABIASHARA MMOJA ALITOA NA MACHOZI JAMAA WA HALMASHAURI ANAULIZWA HII KAMPUN N YA NANI ANAKIFAFA CHA MDOMO

KWAHIOO HATA HAYAMMA CONTRL NO SIO YA KUAMINI SANAA

MBEYA MNAKUMBUKA JAMAA 14 WALIKAMATWA WAMEVAMIA MFUMO WA MALIPO YA SERKL WAMEPIGA KAMA MIL 800 PLUS HALMASHAURI SIJUI WALIISHIA WAPI
 
Waweke mageti ya ku-swap unapotokea kituoni! Mbona rahisi?
Mageti nayo watatafuta njia ya kukwepa. Hili jambo la wizi kwenye hii karne ya electronic kila sehemu ni ujinga wa CCM. Hii mbona ni rahisi sana kuzuia?
 
MWENDOKASI JEEE HUKOO BALAAAA

UKIKATA TKT WANAZISHIKA KAMA WANAZICHANA WE UKIONDOKA ZINARUDISHWA ZILIPOTOKA

UKIZICHANA WEWE WANAKUTISHIA M NAKUMBUKA NILIMBWATUKIA MMOJA PALE POSTA NA NKAMWAMBIA NAIJUA HIOO AKAISHIAA NENDA BANA HUNA LOLOTE
 
Sawa lakini kuandika "rami" umenitoa kwenye reli.
 
Nchi za wenzetu kama China, ukipitiliza kituo ulichoainisha wakati wa kukata tickets, ukishuka hauwezi kutoka nje ya station mpaka ulipe kile kiasi kilichozidi. Yaani ile token ya kutokea inagoma mpaka uongeze pesa ya hiyo distance iliyozidi. Hawa watu naamini wamesafiri sana na wanajua haya mambo, sijui kwa nini inakuwa ngumu kuiga kwa wenzetu. Hawa maafisa wa TRC ndio wahujumu wa kwanza, kabla ya mwananchi.
 
Binafsi sioni mantiki ya Takukuru kujihusisha na Jambo dogo kama hili. Kuna Polisi wa Reli na pia TT ambao wanatosha kabisa kudhibiti uhuni huu. Takukuru ina majukumu muhimu sana ya kuzuia na kupambana na rushwa na si kesi ndogo ndogo kama hizo za tiketi za Treni ambayo ziko ndani ya uwezo wa TRC.
 
MAKONDA ALIKUTANA NA KAMPUNI IMESAJILIWA WANADAI YA HALMASHAURI NA PESA ZINALIPWA HUKOO KWA CONT NO AISEE

MFANYABIASHARA MMOJA ALITOA NA MACHOZI JAMAA WA HALMASHAURI ANAULIZWA HII KAMPUN N YA NANI ANAKIFAFA CHA MDOMO

KWAHIOO HATA HAYAMMA CONTRL NO SIO YA KUAMINI SANAA

MBEYA MNAKUMBUKA JAMAA 14 WALIKAMATWA WAMEVAMIA MFUMO WA MALIPO YA SERKL WAMEPIGA KAMA MIL 800 PLUS HALMASHAURI SIJUI WALIISHIA WAPI
Huo ndiyo ukweli unaopaswa kuwa wazi, kama MGR tu TT wanapita kila baada ya masaa kadhaa kukagua ticket how come hilo dubashwa SGR wajifanye eti NO ukaguzi wa tikiti?.

Urefu wa kamba plus usanii tu!.
 
TAZARA....Dar to Zambia

Wale wa Zambia wakukute umezidosha ruti utajamba cheche

Ila Dar to Dom watu wanachekeana tu
 
Wataalamu wetu wa IT waje na mfumo wa ukaguzi tiketi, ticket itakaguliwa katika interval mbali mbali na mfumo uweze detect single ticket per checkpoint kimsingi nadhani ni zoezi rahisi

edit:
option ya pili mtu akishapanda awe amepanda ila popote atakaposhuka kuwe na sehemu za kuscan kuthibitisha kama ticket yake inamruhusu kufika hapo aliposhuka. mifumo itumike zaidi kwani ukaguzi wa njia ya kawaida wale wakaguzi ndo wazee wa rushwa wenyewe mara nyingi
 
Hii habari nimeiona wasafi.
Takukuru wameibua hujuma za wateja wanaokata ticket za masafa mafupi kisha wanasafiri masafa marefu!!

Kwanza ncheke😂😂😂😂
Ni kweli tumefikia huku yaani kaishu kadogo hivo hadi takukuru igundue Uongozi wa Treni haujajua?
Na kwwnini iwe ishu wakati ni vitu ambavyo huwa vinajulikana?

Kwa uzoefu wangu wa mabasi
Ukikata ticket njiana inaeleweka kituo fulani siti zitakua Empty maana abiria idadi fulani watashuka.
Kwaiyo mkata tiket mwingine wa kituo hiko anakata tiket ya hizo siti.

kwaiyo kama Kuna wizi lazima siti moja iwe na abiria watatu au wawili kitu ambacho lazima mwizi aonekane.

Plus kila kituo inajulikana idadi ya abiria wanaoshuka
Kila kituo inajulikana idaid ya abiria wanaopanga.

Kifupi hii ishu ya wizi wa kizamani hii sijawai iona miaka hii isipokua niliona kwene hizi gari za TATA hzi zinaendaga vijijini huko kusiko na rami hawa ndo wakogo zig zag!!

Labda mfumo gani mgumu ambao unafanya abiria awe mjanja kuliko wasimamizi.Mliopanda treni mniambie

NB: Yaliyopo hapa ni mawazo yangu binafsi hayanalengo la kukosoa wala kutuhumu.Kifupi nawaza kwa sauti.



View: https://youtu.be/EieA3JToNEc?si=2fh898kEEPlNaYrY

mbona ghafla sana
 
Watsababisha iwekwe nauli moja kama mwendo Kasi,anayeshuka ruvu,na Dom wote nauli moja.
 
Back
Top Bottom