Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Acha kukurupuka.Kesi inamhusu nyani unampelekea judge ambaye ni nyani. Unategemea maamuzi gani?
Kama ni mda wa kujenga nchi mbona mnalalamika kuibiwa wakati hamjaibiwa?Muda wa sias umekwisha huu ni muda wa kujenga nchi mkuu
Mbona Ester Bulaya alimbwaga Wassira mahakamani?Mahakama ni Mali ya CCM, kama ilivyo Polisi, DPP, TISS, Watu wasiojulikana, ACT Wazalendo, nec, NA nccr mageuzi AND THE LIKES
Mbona Wassira alishindwa na Ester Bulaya mahakamani?Kuna ushahidi wa kila aina ule haukuwa uchaguzi yalikuwa maonesho tu, sasa msilazimishe werevu waende kwenye mahakama zenu muamue kesi kwa mapenzi ya bosi wenu ili mhalalishe ule upuuzi mlioufanya.
Wacha kila kitu kibaki hivyo hivyo, kila mwenye macho haambiwi tazama.
Mahakama hii ambayo Jaji Mkuu ndio huyo mliye naye , na mahakimu wanaccm akina Simba ! itakuwa kituko sana kwa Chadema kwenda MahakamaniHe who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.....
Kura zipi zilizokamatwa kwenye mabegii?? Ile ilikua nikutafuta kuchafua taswira ya uchaguzii baaada ya kuona wanagaragazwa asubuhiii saana. Kibaya zaedi wakaigiza kuzichoma. We we ukamate nyaraka kama zile halafu ujichukulie sheria mkononi kuzichoma bilahata kufikisha kwenye vyombo husika??He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana....
Msitutoe fahamu,Bulaya na makamanda mlipokuwa mnashind kesi hazikuwa hizi mahakama?Mahakama hii ambayo Jaji Mkuu ndio huyo mliye naye , na mahakimu wanaccm akina Simba ! itakuwa kituko sana kwa Chadema kwenda Mahakamani
Enzi hizo palikuwa na nafuu kidogo, sio sasa.Mbona Wassira alishendwa na Ester Bulaya mahakamani?
Magufuli kisha shika hatamu. Polisi yeye, hakimu yeye, mwendesha mashitaka yeye, bwana jela, nyapara yeye, mwenyekiti wa parole yeye. Utamfanya nini?Mbona Ester Bulaya alimbwaga Wassira mahakamani?
Lakini na zile zenu za mabeberu kwani hamkupeleka huko?Mahakama hii ambayo Jaji Mkuu ndio huyo mliye naye , na mahakimu wanaccm akina Simba ! itakuwa kituko sana kwa Chadema kwenda Mahakamani
Unaposema nafuu kidogo unamaanisha nini?Enzi hizo palikuwa na nafuu kidogo, sio sasa.
si kwa utawala huu usiojua maana ya demokrasiaMsitutoe fahamu,Bulaya na makamanda mlipokuwa mnashind kesi hazikuwa hizi mahakama?
Una hakika zilichomwa zote? kura zimelipakaa nchi nzima kuna haja gani kuogopa kuzichoma baadhi?Kula zipi zilizokamatwa kwenye mabegii?? Ile ilikua nikutafuta kuchafua taswira ya uchaguzii baaada ya kuona wanagaragazwa asubuhiii saana. Kibaya zaedi wakaigiza kuzichoma. We we ukamate nyaraka kama zile halafu ujichukulie sheria mkononi kuzichoma bilahata kufikisha kwenye vyombo husika??