Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Ukiwa mjinga basi Kama kimya inasadia. Hakuna wakati watu wamepata Haki zao iwe mahakamani au maofisini kama kipindi cha JPM. Huhitaji kuitwa mbowe ndo upewe haki. JPM Ni kiongozi mzuri ingawa sio mwanasiasa wa ile sense ya usanii.

Hata enzi Moi hapo Kenya, alikuwa na wapambe kama ww waliokuwua wanammwagia sifa za hivi hivi. Yeye mpaka aliitwa mtukufu.
 
Kukaa kimya ni busara sio lazima uandike hata ukiishiwa point
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda?

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Acha kujitoa ufahamu na ww? Unaweza kumshitaki nyani kwa ngedere ukapata hukumu ya haki?
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda?

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.

Hivi kuna mahakama bado😂😂
 
Upeleke kesi kwenye mahakama ambayo jaji kateuliwa na mwenyekiti wa maccm!

Kuwa serious mkuu watanzania sio wajinga kiasi hicho
 
Back
Top Bottom