Ni kwa sababu CCM wamejimilikisha ss wengine wanajitambua hawataki kuchanganya mpira na siasa!!!Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Ww huyu hana mapenzi ya mpira ni kwamba miaka ya uchaguzi imefika kwa hiyo anatafuta kuungwa mkono na kila kikundi cha watu ss kwenye sekta ya michezo hususani mpira wa miguu watu wapo ndo unamuona yuko mstari wa mbele....ila kimsingi hana mapenzi ya mpira !!!!Raisi ana mapenzi na mpira huo ukweli haupingiki
Tutamsapoti akipunguza ukali wa maisha!!!MAma anatakiwa kuungwa mkono, ni Raisi pekee anaye fuatilia mpira ba ni Mwanamke, Sapoti ni muhimu sana
Sasa watu kama Baba Levo na Mwijaku ndiyo wawakilishi na wahamasishaji wa timu unategemea nini?Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Ingependeza sana na ndiyo maana ikifanya vibaya sisi tusiyo wana ccm tunajusikia muruaaaaKwanini hii timu isiitwe ccm stars?
Hata mimi nafurahia sanaHivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Tutaiponda sana na jana tayari washaanza kuagaSi Bora hata Rais Wetu Huwa anawapa Moyo ila nyie mnawaponda Stars.
Alichanga kutoka kwenye bank account yake?Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
AiseeNimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Afadhali Nguruwe anatumia akili kuliko weweWewe mavi ya Bata akili zako ziko wapi?
Marais wengine wanajitambua ma kujiamini, wakwatu anatafutiwa cheap popularityNimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Huo utakuwa ni unafiki wa kiwango cha SGRKuwapa moyo kwa lengo la kusaka sifa za kisiasa huo sio moyo.
Wakayabandike pale Lumumba wasituchafulie Jiji letuAcha wapigike tu warudi na mabango yao wayabandike mitaani.
Wanakosea hapo hapo na ndiyo maana tunaiombea mabaya Taifa StarsUjinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu
La Jiweulitaka bango la mbowe
Tunaiombea mabayaTaifa Stars ikishinda pongezi zote zingeenda kwa maza na ccm. Wakifungwa inakua timu ya wananchi
Tunaiombea mabaya sana na lazima itafungwa na itarudi na gunia la magoliKwani nyie mnakatazwa kuzisaka hizo sifa za Kisiasa Kwa Timu? Mbona Lisu alienda kuzisaka?
Ccm hoyeeeeeeeeeTunazisaka kwa Taifa Star Kufurushwa kwenye mashindano
Kwa upumbavu wenu kama huu unaoufanya hapa tutaendelea kuwaponda na kuwaombea mabaya kila sikuWaacheni Sasa wanaozitaka hizo sifa za kijinga,nyie mnawashwa na nini?
Kwani mnakuwa mnamkomoa nani labda?Kwa upumbavu wenu kama huu unaoufanya hapa tutaendelea kuwaponda na kuwaombea mabaya kila siku