Kule AFCON kuna timu nyingine ina Bango la Rais wao uwanjani zaidi ya Tanzania?

Kule AFCON kuna timu nyingine ina Bango la Rais wao uwanjani zaidi ya Tanzania?

Raisi ana mapenzi na mpira huo ukweli haupingiki
Ww huyu hana mapenzi ya mpira ni kwamba miaka ya uchaguzi imefika kwa hiyo anatafuta kuungwa mkono na kila kikundi cha watu ss kwenye sekta ya michezo hususani mpira wa miguu watu wapo ndo unamuona yuko mstari wa mbele....ila kimsingi hana mapenzi ya mpira !!!!
 
Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.

Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Sasa watu kama Baba Levo na Mwijaku ndiyo wawakilishi na wahamasishaji wa timu unategemea nini?
 
Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.

Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Alichanga kutoka kwenye bank account yake?
 
Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.

Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Aisee
 
Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.

Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Marais wengine wanajitambua ma kujiamini, wakwatu anatafutiwa cheap popularity
 
Ujinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu
Wanakosea hapo hapo na ndiyo maana tunaiombea mabaya Taifa Stars
 
Tunazisaka kwa Taifa Star Kufurushwa kwenye mashindano
Ccm hoyeeeeeeeee
2117517275.jpg
 
Back
Top Bottom