Kule kwa Malkia: Meghan Markle ameanza kuisoma namba

Wanajikutaga wao ni bora sanaa.
Kuna wakati unatamani uzabe mtu kibao kwa jinsi wanavyokuangalia, ingawa wanakuangalia kwa haraka ila unajua tu hawapendi
Wengi wao wana ubaguzi sana ingawa tupo nao tu tunadunda na wengine roho inawauma wakiona unawazidi kipato na cheo hahaha lakini ndio hivyo tena


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Ni vilaza tuu sisi weusi tuko vizuri sanaa sema mfumo wa elimu yetu umetujenga kuwaona wao ni bora.Tunafanya nao kazii ila hawana kitu n rangi tuu ndio inawabeba.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]mmmh Charlotte black?.......sasa mbona anamuwekea Meghan kauzibe now[emoji134][emoji23]?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaaahaaa...siku ukiibuka nae club piga nae pic unirushie[emoji16][emoji16]

Namkubali sana Harry, full kujichanganya na kila raia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu ni mbaguzi sana japo mambo mengine wako poazz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16]mmmh Charlotte black?.......sasa mbona anamuwekea Meghan kauzibe now[emoji134][emoji23]?

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona hiyo wakati Quuen anamuonyesha Meghan picha ya Charlotte
Kweli ni mweusi fuatilia nakujua utamsoma
Ila queen Elizabeth ana roho mbaya sana ila mama yake alikuwa mzuri sana Queen mother
Naona anamchukia kwa sababu hafuati taratibu za palace kama Diana

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Swali la kizushi Queen Elizabeth n muolewaji adi akawa malkia au n kutokana na kuzaliwa kwenye familia ya kifalme.
 
Haahaaahaaa...siku ukiibuka nae club piga nae pic unirushie[emoji16][emoji16]

Namkubali sana Harry, full kujichanganya na kila raia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mpaka yule mama aliyekuwa ana muangalia alimwambia wewe fanya utakalo maana hatukuchungi kama kaka yako
Mpaka bangi alijaribu yaani huyu dogo kiboko lakini smart sana namkubali
Siku akitokea anga zangu labda wanikate mitama tu lakini selfie lazima

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Swali la kizushi Queen Elizabeth n muolewaji adi akawa malkia au n kutokana na kuzaliwa kwenye familia ya kifalme.
King George ambae alikuwa baba yake na malkia Elizabeth alipokufa mfalme ndipo Elizabeth akapewa U malkia akiwa na umri wa miaka 25 mpaka leo


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
damu safi,ki vpi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani angekuwa na damu ya bongo, sipati picha angetoka ukoo wa kina Riyama Ally...angewanyali mpaka basi.
Tatizo kiinglishi!! Angewanyali vipi sijui..

Hey!! Donti folo folo me, luk at ur mouth, mouth like marlin fish!! Vilegs like honey badger!! Sasa sijui nyooo angeitamka vip kwa kiinglishi!!

Au ataishia kuwaimbia nyimbo za taarabu na kunung'unika kwa mafumbo
Ooh! There are people n shoes in this world!!
Oohh!! If u have it will pain em inside inside.
Oooh!! Live them, avoid 'em quickly quickly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke ni Black America aliyeolewa na mtoto wa Princess Diana.

Huenda bibi mkubwa (Malkia) ana kaubaguzi...

Lakini pia isije ikawa ni habari za udaku (TABLOIDS)

Au ukute ni habari za April Fools Day....

Nawaza tu wakuu.
Si kama unavyomfikiria nisikiavyo Megan ni mkorofi na Prince Harry ni toy boy kwa miaka takriban 6 anapelekeshwa na huyu mdada.

Yeye na Kate hawaelewani kabisa, hii imesababisha kuvunjika kwa uhusiano wa William na Harry. Hawa vijana walikuwa karibu sana.
 
Hahaha..na kanga za mafumbo ya kiingereza.
 
Ni mzaliwa kwenye familia ya kifalme.

Kaka yake na baba yake Eliza alikua mfalme ila aliutema baada ya kumpenda mwanamke mwingine aliyeolewa na kuwa na watoto huko hivyo ufalme akapewa baba yake Eliza ambaye hakua na mtoto mwingine zaidi ya queen eliza
Swali la kizushi Queen Elizabeth n muolewaji adi akawa malkia au n kutokana na kuzaliwa kwenye familia ya kifalme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…