Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Bi Hawa Mohamed !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bi Hawa Mohamed !
Hii inategemea. Kwangu mimi kugawana mali inabidi kila mtu awe na haki, ila jua kuwa mara nyingi ndoa za vijijini mara nyingi huwa hakuna cha kugawana. Nyumba ya nyasi mtagawana nini? Ardhi huwezi kumgawia mwanamke maana ni ya ukoo na amekuja akaikuta.
Mkuu hiyo ni kesi maarufu (landmark case) kwenye issue ya mgao wa mali. Kwa kifupi kesi ya bi hawa imeweka msingi ya kuwa domestic shores inahusika kama contribution kwenye kugawana mali!Kafanyaje