Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
mkuu unashukuriu Kwa maneno ya kuambiwaMungu na azidi kumbariki Afanye maajabu zaidi. Mpaka tumchapishe Kwenye Noti mojawapoπππͺπππ€
Yawe ya kuambiwa au lah.. ila najua Kuna Jambo linazaliwa katika hayo. Vijana wetu wasomi ni kama wamekufa wangali wakitembea juu ya Kadhia hii. It really sucks mkuu...Duub
mkuu unashukuriu Kwa maneno ya kuambiwa
Yawe ya kuambiwa au lah.. ila najua Kuna Jambo linazaliwa katika hayo. Vijana wetu wasomi ni kama wamekufa wangali wakitembea juu ya Kadhia hii. It really sucks mkuu...kabisa mkuu
hahahaaaaaa wanakusanya nguvu kwa kweliWatu 176000+ kuwafanyisha paper, kumark, na kuchakata tokeo mara mbili sio KAZI ya kitoto.
Hii ni zaidi ya necta jamaa wanakusanya nguvu kwanza
Endelea kuotahahahaaaaaa wanakusanya nguvu kwa kweli
Wamesitisha Ili waajiri 2025.Wameona wakiajiri mwaka huu mwakani kwenye uchaguzi wataajiri Tenaπ€£π€£π€£π€£π€£Wangetoa sababu za kusitisha ingekuwa vizuri ili kuondoa mkanganyiko
Mnajua kulishana tango poriWamesitisha Ili waajiri 2025.Wameona wakiajiri mwaka huu mwakani kwenye uchaguzi wataajiri Tenaπ€£π€£π€£π€£π€£
πππππHakika wanasubiri 2025 mwaka wa uchaguzi π€£π€£π€£π€£π€£πππMnajua kulishana tango pori