Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Waalimu tupo wengi sana,nahisi moja ya sababu iliyowaumiza kichwa UTUMISHI na TAMISEMI ni venues hasa ukizingatia kipindi hiki shule bado hazijafungwa na vyuo pia bado havijafungwa,hivyo inakua ngumu kung'amua wapi usahili utafanyikia ilhali venues tegemewa ziko occupied.
Pili raslimali watu ndogo,itakayotumika kuandaa na kusimamia zoezi la usahili,nayo pia ni changamoto,maana kama kada ya afya tu idadi ya washiliwa ilikua ni ndogo ukilinganisha na waalimu,itakuaje kwetu?Nakumbuka kipindi cha usahili wa watu wa kada ya afya,kule sekretarieti ya ajira niliambiwa walibaki walinzi tu wale wa SUMA JKT,maafisa wote walikua wako bize kwenye vituo tengwa vya kufanyia sahili nchi nzima,je usahili wa ualimu si itakua hatari?
Mi nimewaza kua hayo mambo mawili ni miongoni mwa sababu zilizowafanya waghairi kufanyisha usahili kipindi hiki.
 
Waalimu tupo wengi sana,nahisi moja ya sababu iliyowaumiza kichwa UTUMISHI na TAMISEMI ni venues hasa ukizingatia kipindi hiki shule bado hazijafungwa na vyuo pia bado havijafungwa,hivyo inakua ngumu kung'amua wapi usahili utafanyikia ilhali venues tegemewa ziko occupied.
Pili raslimali watu ndogo,itakayotumika kuandaa na kusimamia zoezi la usahili,nayo pia ni changamoto,maana kama kada ya afya tu idadi ya washiliwa ilikua ni ndogo ukilinganisha na waalimu,itakuaje kwetu?Nakumbuka kipindi cha usahili wa watu wa kada ya afya,kule sekretarieti ya ajira niliambiwa walibaki walinzi tu wale wa SUMA JKT,maafisa wote walikua wako bize kwenye vituo tengwa vya kufanyia sahili nchi nzima,je usahili wa ualimu si itakua hatari?
Mi nimewaza kua hayo mambo mawili ni miongoni mwa sababu zilizowafanya waghairi kufanyisha usahili kipindi hiki.
Mfano mkoa wa Mbeya wanaitaji walimu wa msingi 200, so oral interview wanaweza ita 600+ kufwa na panel ya kuinterview watu 600 Kwa Kila msailiwa 15 min,,,,ni kisanga
 
Waalimu tupo wengi sana,nahisi moja ya sababu iliyowaumiza kichwa UTUMISHI na TAMISEMI ni venues hasa ukizingatia kipindi hiki shule bado hazijafungwa na vyuo pia bado havijafungwa,hivyo inakua ngumu kung'amua wapi usahili utafanyikia ilhali venues tegemewa ziko occupied.
Pili raslimali watu ndogo,itakayotumika kuandaa na kusimamia zoezi la usahili,nayo pia ni changamoto,maana kama kada ya afya tu idadi ya washiliwa ilikua ni ndogo ukilinganisha na waalimu,itakuaje kwetu?Nakumbuka kipindi cha usahili wa watu wa kada ya afya,kule sekretarieti ya ajira niliambiwa walibaki walinzi tu wale wa SUMA JKT,maafisa wote walikua wako bize kwenye vituo tengwa vya kufanyia sahili nchi nzima,je usahili wa ualimu si itakua hatari?
Mi nimewaza kua hayo mambo mawili ni miongoni mwa sababu zilizowafanya waghairi kufanyisha usahili kipindi hiki.
Hii adi rais Samia atapewà panel na bado awatatoshea walimu ni jeshi kubwa sana.
Hapo Tena kunawatu wameitwa kwenye SoMo Moja na SoMo la pili status inasema vyeti avionekani ni uhuni TU wanawafanyia Yani cheti ni hiko hiko kimoja lakini status ni mbili tofauti hapa inamana wameforce kupunguza watu lakini wapi mambo bado magumu wameibuka watu 17600+ 😂
 
Hii adi rais Samia atapewà panel na bado awatatoshea walimu ni jeshi kubwa sana.
Hapo Tena kunawatu wameitwa kwenye SoMo Moja na SoMo la pili status inasema vyeti avionekani ni uhuni TU wanawafanyia Yani cheti ni hiko hiko kimoja lakini status ni mbili tofauti hapa inamana wameforce kupunguza watu lakini wapi mambo bado magumu wameibuka watu 17600+ 😂
Nadhani kama wanapitia humu, wangechukua lile wazo la jana.
 
Habari za uhakika ndio hizo mama yetu kipenzi baada ya kuona idadi ya waombaji ni kubwa kuongeza nafasi kadhaa
Sijawai kutoa taarifa za uongo sababu Nina vyanzo vya kuaminika kila sehemu
Itapendezaa sana kama itakuwa hivyo.
 
Habari za uhakika ndio hizo mama yetu kipenzi baada ya kuona idadi ya waombaji ni kubwa kuongeza nafasi kadhaa
Sijawai kutoa taarifa za uongo sababu Nina vyanzo vya kuaminika kila sehemu
Humu kila mtu anatoa za uhakika
 
Habari za uhakika ndio hizo mama yetu kipenzi baada ya kuona idadi ya waombaji ni kubwa kuongeza nafasi kadhaa
Sijawai kutoa taarifa za uongo sababu Nina vyanzo vya kuaminika kila sehemu
Uongo hakuna nafasi iliyoongezwa.
 
Habari za uhakika ndio hizo mama yetu kipenzi baada ya kuona idadi ya waombaji ni kubwa kuongeza nafasi kadhaa
Sijawai kutoa taarifa za uongo sababu Nina vyanzo vya kuaminika kila sehemu
Mungu na azidi kumbariki Afanye maajabu zaidi. Mpaka tumchapishe Kwenye Noti mojawapo😝😝💪😜🌄🤭
 
Na interview ni l
Habari za uhakika ndio hizo mama yetu kipenzi baada ya kuona idadi ya waombaji ni kubwa kuongeza nafasi kadhaa
Sijawai kutoa taarifa za uongo sababu Nina vyanzo vya kuaminika kila sehemu
ini according to vyanzo vyako?
 
Back
Top Bottom