Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Kulikoni ajira za ualimu 2024?

Yap

wako busy na mitihani ya la nne, form two na form four,,,wasingeweza kuendesha sahili za watu wengi kipindi iki.
Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
 
Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Hata mimi najiuliza iyo kitu yani wadau wanajitungia sababu tu
 
Intaview nyingi zinafanyika kwenye shule kongwe
Hii sababu bado sijaielewa kwani Kuna ulazima Gani wa kutumia shule kongwe kufanyisha usaili?.
Je kipindi wanaita watu kwenye usaili awakuona events za hizo tarehe kwenye hizo venue walizoziteua Kuna shida Gani kama issue ni venue zinatumika kwa matumizi mengine basi wangebadili venue na si tarehe za usaili kwani mara ngapi twaona venue zabadilika?
 
Mfanobdrasa la nne wanafanya pep Leo na Kaho,,yaani mkoa mzima uko busy htr,,
Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
magari ya serikali yanasambaza mitihani, top government officials wa mkoa n aa wilayani ni wajumbe wa kamati za mitihani, polisi kalbia wote wanalinda mitihani Sasa wangeendeshaje izo sahili za wqpimu
 
Mfanobdrasa la nne wanafanya pep Leo na Kaho,,yaani mkoa mzima uko busy htr,,

magari ya serikali yanasambaza mitihani, top government officials wa mkoa n aa wilayani ni wajumbe wa kamati za mitihani, polisi kalbia wote wanalinda mitihani Sasa wangeendeshaje izo sahili za wqpimu
Khaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.
Pili watendaji wa utumishi sio lazima wasafili kwa magari ya taasisi Wana ya kwao private na wengine wanalipwa usafiri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
Na ukisema magari lazima lamda kwa ajiri ya ubebaji wa vifaa vya usaili utaitaji gari Moja TU kwa mkoa mzima utumishi wanashindwaje kupata gari Moja?
Usaili walijinasibu wengi wataufanya online so migari mingi ya nini itabeba nini?
Hao wakuu wa mikoa wilaya na takataka nyingine ulizozitaja azina kazi yoyote kwenye mambo ya utumishi.
Polisi wa Nini tena kwani usaili ni maandamano ndugu?
Mbona saili nilizohuzulia Mimi swahiba sikuona polisi? Walimu wakolofi sanaa nini?
 
Khaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.
Pili watendaji wa utumishi sio lazima wasafili kwa magari ya taasisi Wana ya kwao private na wengine wanalipwa usafiri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
Na ukisema magari lazima lamda kwa ajiri ya ubebaji wa vifaa vya usaili utaitaji gari Moja TU kwa mkoa mzima utumishi wanashindwaje kupata gari Moja?
Usaili walijinasibu wengi wataufanya online so migari mingi ya nini itabeba nini?
Hao wakuu wa mikoa wilaya na takataka nyingine ulizozitaja azina kazi yoyote kwenye mambo ya utumishi.
Polisi wa Nini tena kwani usaili ni maandamano ndugu?
Mbona saili nilizohuzulia Mimi swahiba sikuona polisi? Walimu wakolofi sanaa nini?
Kunywa maji,,ila Kwa trend ilivyo interview labda zianze wa 11 mwishoni au wa 12, na kipindi icho ni pirikapirika tupu,,, in short ajira za walimu zimewasumbua sana Utumishi
 
Khaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.
Pili watendaji wa utumishi sio lazima wasafili kwa magari ya taasisi Wana ya kwao private na wengine wanalipwa usafiri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
Na ukisema magari lazima lamda kwa ajiri ya ubebaji wa vifaa vya usaili utaitaji gari Moja TU kwa mkoa mzima utumishi wanashindwaje kupata gari Moja?
Usaili walijinasibu wengi wataufanya online so migari mingi ya nini itabeba nini?
Hao wakuu wa mikoa wilaya na takataka nyingine ulizozitaja azina kazi yoyote kwenye mambo ya utumishi.
Polisi wa Nini tena kwani usaili ni maandamano ndugu?
Mbona saili nilizohuzulia Mimi swahiba sikuona polisi? Walimu wakolofi sanaa nini?
Nasubiri comeback yake
 
Kunywa maji,,ila Kwa trend ilivyo interview labda zianze wa 11 mwishoni au wa 12, na kipindi icho ni pirikapirika tupu,,, in short ajira za walimu zimewasumbua sana Utumishi
Kaka umejibu kinyonge sana, umeshindwa kabisa kutetea hoja yako.
 
Kama ntakuwa nimekosea kwenye kumuelewa naomba mnisaidie,,,,,,,,

Swala la interview katika ajira hizi za mwaka 2024 halitakuwepo ,,, lakin kwa ajira za ualimu za mwaka 2025 , 2026 na kuendelea ,,,,, walimu itabidi wafanye interview ndipo wapate kazi

Kwa kifupi ,, nikuwa sasa shwala la interview limekuwa introduced rasmi kama kigezo cha nani apate kazi na nani asipitake kazi ,,, na utekelezaji wake utaanza katika ajira za mwaka 2025 na kuendelea


Sasa basi kama ni hivyo ,,, je hizi za mwaka 2024 zinatoka au hazitoki ??
Kama hazitoki watuambie kwanini ?? ,,,, Kama zinatoka pia watuambie kwa utaratibu gani ???,,,, Na zitazingatia vigezo vipi ???

-Je zitazingatia umri wa muhusika yani muombaji mwenye umri mkubwa ndiyo apate ??

-je zitazingatia mwaka wa kumaliza ,, yani muombaji aliyemaliza miaka ya nyuma ndiyo ananafasi ya kupata ??

- je,, walimu watatakiwa kuomba tena ?? Au watatumia majina yale yale ya utumishi ??

-je swala la vituo litakuwaje ?? Watajipangia wenyew vile wanaona au watazingatia machaguo ya waombaji kama walivyoomba katika account za utumishi ??


Naona kama speech ya muheshimiwa ,,,, bado imeacha maswali mengi sana huku mtaani...
Hiyo ya mwaka jana ndugu yangu
 
Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Anamaanisha wanaosimamia mitihani hiyo ni walimu hao hao wanaotegemea kufanyiwa interview. Walimu hao wapo katika private schools na pia huenda wakahisika katika Zoezi la marking.
 
Anamaanisha wanaosimamia mitihani hiyo ni walimu hao hao wanaotegemea kufanyiwa interview. Walimu hao wapo katika private schools na pia huenda wakahisika katika Zoezi la marking.
Cheap point!
hiyo sasa ingekuwa ndio miongoni mwa sababu za kuwapunguza watu.
Wewe ujaona hapo kwenye ratiba ya usaili ya utumishi kwa mfano kulikuwa na SoMo la history na geography zimepangwa siku Moja na muda mmoja kwa nini ilipangwa hivi . Sasa utawezaje kufix ratiba yako iendane na taasisi zingine wakati ratiba Yako ya ndani TU umeshindwa kuitengeneza iwe fair kwa watu wako wote wa ndani ? Ushugulike na ratina za wenzio
Kwa nn wawabebe hao wanaosimamia mitihani na si wasailiwa?.
Na mipango ya serikali si kuajiri wataalamu wote wengine wataajiriwa sekta binafsi it's means that hao walio private school sio target kwa kazi hizi hao teyari wamejipata kama wanaona huko private sector hapawafai ni vema wakaacha waje wapambane na saili ambazo zitafanyika muda wowote hule.
Mana hapo atakama imepelekwa mbele hiyo saili kwa kigezo hicho ukisemacho bado awajaokoka kwani baada ya hapo watarudi vituo vyao vya kazi na waajiri wao Wana wajibu wa kuwakataza wasifanye hizo saili za utumishi wakawang'ang'ania.
Kwa mantiki hii utumishi awawezi Fanya huo utoto watakuwa wamepoteza muda kusolve tatizo ambalo awawezi kulisolve uwezi mpangia muajiri awaruhusu waajiliwa wake waende kufanya usaili kazi zake atazifanya nani?
 
Back
Top Bottom