Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
lissu anaongea kauli ambazo zinamuweka salama kisheria, ndo maana kei=si nyng za jiwe alikuwa anashinda, hata kingai agizo lake kashindwa kulifanyia kaz maana lina mapungufu kisheria, wakitumia nguvu kumkamata bado watamwachia mapema tu maana lissu ana attention kimataifa na sisi wakopaji tunaogopa kunyimwa mikopo, hvyo lissu wanamhanya