Kulikoni leo huduma za Simbanking na ATM za CRDB hazifanyi kazi tangu asubuhi?

Kulikoni leo huduma za Simbanking na ATM za CRDB hazifanyi kazi tangu asubuhi?

GTs,

Kwa wale msiofahamu, simbanking ni app ya CRDB inayowezesha huduma za kibenki kupitia simu. Ila sishauri mtu aitumie hii app, ni ya ovyo ovyo mno!

CRDB Simbanking leo toka asubuhi inasumbua, no information wala hawaombi msamaha. Hivi kama mtu ana mgonjwa na yupo mbali na ATM akaamua kulipa kwa Sim banking na inasumbua si mgonjwa anaweza kufa.

Na hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Je, benki gani yenye uhakika wa service?
 
GTs,
Kwa wale msiofahamu, simbanking ni app ya CRDB inayowezesha huduma za kibenki kupitia simu. Ila sishauri mtu aitumie hii app, ni ya ovyo ovyo mno!

CRDB Simbanking leo toka asubuhi inasumbua, no information wala hawaombi msamaha. Hivi kama mtu ana mgonjwa na yupo mbali na ATM akaamua kulipa kwa Sim banking na inasumbua si mgonjwa anaweza kufa.

Na hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Je benki gani yenye uhakika wa service?
Watumishi wa Serikali hamnaga akiba
Muwe mnakaa na hela ndani na mpesa nk
 
Kama heading inavyosema Huduma hizo hakuna kabisa, watu wanahangaika wanataka kutoka pesa kwa ajli ya Eidd, wanadhondwa.
Nadhani Nsekela atakuwa mwizi wanavuruga mifumo ili waibe hela za wateja au wanafanya Money Laundering. Haiwezekani bank kubwa namna hii iwe na mifumo dhaifu kiasi hiki na tena bila kutoa taarifa
 
Nadhani Nsekela atakuwa mwizi wanavuruga mifumo ili waibe hela za wateja au wanafanya Money Laundering. Haiwezekani bank kubwa namna hii iwe na mifumo dhaifu kiasi hiki na tena bila kutoa taarifa
Walimu bwana , lakini hapa Tz local bank Hakuna bank nzuri Kama CRDB
 
GTs,
Kwa wale msiofahamu, simbanking ni app ya CRDB inayowezesha huduma za kibenki kupitia simu. Ila sishauri mtu aitumie hii app, ni ya ovyo ovyo mno!

CRDB Simbanking leo toka asubuhi inasumbua, no information wala hawaombi msamaha. Hivi kama mtu ana mgonjwa na yupo mbali na ATM akaamua kulipa kwa Sim banking na inasumbua si mgonjwa anaweza kufa.

Na hii imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Je benki gani yenye uhakika wa service?
Kuna Mtu alipaswa kesho akachukue mzigo WA IDD kafeli leo
 
Asubuhi nimetuma pesa mbona ila sijaju kama imewafikia ila huku imetoka.
 
Wakuu hawa Ndugu wakuitwa Crdb bank ni Changamoto sana ifikapo tarehe za Mwisho wa mwenzi kama muda huu, Network yao iko unavailable, Yani tangu nihame Arusha na Kuja uku Mikoani kwa kweli changamoto za Local banks ni Kubwa sana, Arusha nilizoea International banks ambazo hazina huu Ujinga wa Nmb na Crdb
 
Nadhani Nsekela atakuwa mwizi wanavuruga mifumo ili waibe hela za wateja au wanafanya Money Laundering. Haiwezekani bank kubwa namna hii iwe na mifumo dhaifu kiasi hiki na tena bila kutoa taarifa

Umeongea ukweli Mimi zimeingia pesa kwenye akaunti, halafu zikapotea. Kila nikijaribu kuwapigia mtandao haupatikani.
 
Wakuu hawa Ndugu wakuitwa Crdb bank ni Changamoto sana ifikapo tarehe za Mwisho wa mwenzi kama muda huu, Network yao iko unavailable, Yani tangu nihame Arusha na Kuja uku Mikoani kwa kweli changamoto za Local banks ni Kubwa sana, Arusha nilizoea International banks ambazo hazina huu Ujinga wa Nmb na Crdb
International si ungehama nazo kwenda ulikoenda?
 
Umeongea ukweli Mimi zimeingia pesa kwenye akaunti, halafu zikapotea. Kila nikijaribu kuwapigia mtandao haupatikani.

Binafsi nimekosea kutuma hela mpaka sasa sina uhakika kama itarudi ama hairudi mana sio simu tu kuwa pigia hadi sms nimewatumia kwennye mitandao yao ya kijamii lakini ni zaidi ya masaa 2 yamepita sijajibiwa [emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom