Kulikoni leo huduma za Simbanking na ATM za CRDB hazifanyi kazi tangu asubuhi?

Kwani muamala wa simbanking unaweza mrudishia mtu uhai?
 
Umeghairi/Umeahirisha, ni vyema kupitia unachotuma kabla ya kukituma la sivyo utabatizwa jina la kituko bila kupinga [emoji38]
Kama ulielewa nini na maanisha ungepita hivi,sio kila unachosoma lazima ukosoe.Kumbuka Jf ni jukwaa ambalo hata asie soma anasifa.Tusijifanye tunajua sana na huku CHUPI ulio vaa inatoka China na hata Sinki la Choo unacho KUNYA lina toka China.
Nahata sielewi mtu kijifanya ujuaji na elimu yako ni hii hii ya Bongo nyoso Nyammbaf wahead.
 
Bado ongeza matusi yale mazito zito zaidi maana hakuna jipya chini ya jua Chifu [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…