Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Yeah. Ni graduate. Sipendi kuweka details nyingi...Chuo alisomea wapi? Ali-graduate?
Ila, aliwahi kuongoza pepa ya matriculation UD!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah. Ni graduate. Sipendi kuweka details nyingi...Chuo alisomea wapi? Ali-graduate?
Bora ubebe box Canada kuliko kuwa hata mganga huku bongo. HahahahaPresha ya nini wakati form four faiure ndio wanaokula maisha?
Kuna rafiki yangu alipiga one ya 7 fom 4, na One ya tatu fom 6, yuko Canada anafanya kazi ya kubeba box... Wakati vilaza wanashikilia vyeo kwenye ofisi nyeti...
15/1/2023 yanatangazwaMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Sijataka uweke details nyingi. Majibu yanatosha kabisa na kuniruhusu kusema huyo jamaa yako ni mzembe kupitiliza. Kwa sifa zake ulizotaja kubeba boxi ni kujitakia. Mshauri arudi bongo agombee udiwani.Yeah. Ni graduate. Sipendi kuweka details nyingi...
Ila, aliwahi kuongoza pepa ya matriculation UD!
Watakao faulu wataenda advance mwezi wa 5, 6 au 7 weee kwanini unataka yatoke haraka?Moja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
😂😂😂😂😂😂😂Watakao faulu wataenda advance mwezi wa 5, 6 au 7 weee kwanini unataka yatoke haraka?
Sasa kama watoto wenu hawasomi mnategemea miujiza gani?Kwa matokea ya form II yalivyo unadhani ya form IV yatakuwaje? Tulio na watoto waliomaliza 2022 tufunge na kuomba hali iwe ya kawaida. Kwa dalili zilivyo kuna kilio.
Inaonesha uliumia sana alipokushindaPresha ya nini wakati form four faiure ndio wanaokula maisha?
Kuna rafiki yangu alipiga one ya 7 fom 4, na One ya tatu fom 6, yuko Canada anafanya kazi ya kubeba box... Wakati vilaza wanashikilia vyeo kwenye ofisi nyeti...
Bwejuu Sekondari ndo niliposomaMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Labda vijana wametaga na kutotoa sanaMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Jumatatu tega sikioMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Msonde ndiyo nani? Au kuna code siifahamu?kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Anataka akarisitWatakao faulu wataenda advance mwezi wa 5, 6 au 7 weee kwanini unataka yatoke haraka?
acha kukaririMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Mzembe huyoYeah. Ni graduate. Sipendi kuweka details nyingi...
Ila, aliwahi kuongoza pepa ya matriculation UD!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Presha ya nini wakati form four faiure ndio wanaokula maisha?
Kuna rafiki yangu alipiga one ya 7 fom 4, na One ya tatu fom 6, yuko Canada anafanya kazi ya kubeba box... Wakati vilaza wanashikilia vyeo kwenye ofisi nyeti...