Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa katibu mkuu mtendaji Dr.Charles MsondeMsonde ndiyo nani? Au kuna code siifahamu?
Hivi sasa kafa ama katumbuliwa?Alikuwa katibu mkuu mtendaji Dr.Charles Msonde
Aliteuliwa kuwa naibu katibu mkuu TamisemiHivi sasa kafa ama katumbuliwa?
Mwaka jana yalitoka tarehe kama ya leo tar 15/01 unasemaje ya mwaka huu yanachelewa kulinganisha na mwaka jana?Moja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuna shule zinsubiri matokeo yatoke ili wafukuze walimu wa Physics na Mathematics.
Naa kufikiria kwako kumeishia hapo!.. just know kuna vitu vingi sana tofauti na hivyo ambazo zinasubiri matokeo hayoHakuna haja ya kuwahisha maana shule na vyuo mpaka July huko
Vitaje tupime au unataka ku resit mkuu?Naa kufikiria kwako kumeishia hapo!.. just know kuna vitu vingi sana tofauti na hivyo ambazo zinasubiri matokeo hayo
Usiwe short minded mkuu Am a professional teacher,,,,,Vitaje tupime au unataka ku resit mkuu?
Kwahiyo professional teacher umeshindwa kuainisha Mambo yanayosubiria hayo matokeo?Usiwe short minded mkuu Am a professional teacher,,,,,
Khakhakhaaaa!!!Tulia uletewe 4 yako
Am not interested kwa league za maneno na choose ku keep quite!..Kwahiyo professional teacher umeshindwa kuainisha Mambo yanayosubiria hayo matokeo?