Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Najiuliza, ule umati wa waliomuomboleza Jiwe kila alikopitishwa walihamasishwa na nani?
 
Ila bongo jana nilikuwa sehemu nikasikia kijiweni watu wakisimulia eti ndege iliyo ubeba mwili wa babu mwinyi imegoma kuwaka, mwili umegoma kwenda zanzibar kisa kukiuka wosia, nikaingia mtandaoni nisome sikuona kitu.

Ina maana wambea wa humu hawakujua hilo tukio?
 
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Barabarani hukuona walivyofurika
 
Huwa Hilo haijalishi sana legacy huwa inaishi hata miaka Mia ….nyerere alipofariki maelfu ya watu walimiminika hata ambao hawakuwahi kumuona…..
Pengine tujifunze pia kutohodhi Misiba ..kwani inawafanya watu kuona huu ni msiba wao Yaani wa viongozi
Nyerere alifariki 1999, asilimia kubwa ya watu waliokuwepo walikuwa na connection nae.
 
Unakumbuka kilichotokea wakati wa kumuaga Magufuli? Kwa taarifa yako, walifariki watu wengi kweli kweli halafu serikali ikaficha. Wale wote waliofariki walizikwa na ndugu zao na attention yote ya serikali ilikuwa ni mazishi ya Magufuli. Nitashangaa sana kama kuna watu bado hawakujifunza kwenye lile tukio.
Mkuu
Waliofariki walizikwa na serikali. Nilishiriki msiba wa familia ya rafiki yangu aliyeondokewa na ndugu watano pale Taifa.

Tatizo siyo kuhofia kukanyagana bali ni mwangwi wa Msiba wa Lowasa ambapo wanausalama waliover eeact kwa wapendwa waombolezaji kwa mmoja kusimikwa konde la shingo hivyo inapelekea watu kuanza kususia misiba ya kitaifa kwa sababu ni ya viongozi na si wanachi.

Ubaguzi unajiongeza taratibu
 
Mkuu
Waliofariki walizikwa na serikali. Nilishiriki msiba wa familia ya rafiki yangu aliyeondokewa na ndugu watano pale Taifa.

Tatizo siyo kuhofia kukanyagana bali ni mwangwi wa Msiba wa Lowasa ambapo wanausalama waliover eeact kwa wapendwa waombolezaji kwa mmoja kusimikwa konde la shingo hivyo inapelekea watu kuanza kususia misiba ya kitaifa kwa sababu ni ya viongozi na si wanachi.

Ubaguzi unajiongeza taratibu
Mimi kuna jirani alifariki na watoto. Hawakuzikwa na serikali. Pengine waliwahi kuzika kabla serikali haijafanya mpango? Na hii ya kuficha idadi ya waliofariki imekaaje? Nashauri kama mtu unajielewa misiba kama hii susia.
 
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Kumbuka wanawake waislam hawajitokezi kwenye misiba yawezekana ndio sababu kubwa ya kutokuwepo uwanjani lakini tendo la kuaga mwili kwa waislam sio utamaduni kwa hiyo husiwe na hofu
 
Huwa Hilo haijalishi sana legacy huwa inaishi hata miaka Mia ….nyerere alipofariki maelfu ya watu walimiminika hata ambao hawakuwahi kumuona…..
Pengine tujifunze pia kutohodhi Misiba ..kwani inawafanya watu kuona huu ni msiba wao Yaani wa viongozi
Unafikiri Kwa zile nyimbo tulizokua tunaimba primary ni nani angebaki nyumba asiende kumuaga Mzee wa azimio

Nakumbuka nyimbo ya azimio la Arusha


Azimiooo
La arushaaaaaa
Linasema siasa kilimo boraaaaaa

Wana
Wananchi tushike majembee
Tuka
Tukalime tupate mazaooo Bora.
 
Ila bongo jana nilikuwa sehemu nikasikia kijiweni watu wakisimulia eti ndege iliyo ubeba mwili wa babu mwinyi imegoma kuwaka, mwili umegoma kwenda zanzibar kisa kukiuka wosia, nikaingia mtandaoni nisome sikuona kitu.

Ina maana wambea wa humu hawakujua hilo tukio?
Helicopter ilimbeba
 
azamtvtz-reel-2024_03_02_10_20.jpg




Credits: Azam Media
 
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Kama watu wakienda kuaga kwa upendo tu wanashushiwa kipigo unadhan nani aende huko, wacha wazikane wenyewe bwana na majeshi yao
 
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Bado mapema.
 
Back
Top Bottom