Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Halafu unajiita Muislam we ni kafiri tu.Huyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu unajiita Muislam we ni kafiri tu.Huyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Naweye umeamini kama huyo mzanizbari mpaka kutuita waznaibari sote mbwa?Wazanzibar wapuuzi sana mna ubaguzi wa kishenzi mbwa nyinyi
Wazanzibar ni mbwa tuNaweye umeamini kama huyo mzanizbari mpaka kutuita waznaibari sote mbwa?
UkweniWamempeleka ugenini
Idadi kamili ni ipi mkuuMimi kuna jirani alifariki na watoto. Hawakuzikwa na serikali. Pengine waliwahi kuzika kabla serikali haijafanya mpango? Na hii ya kuficha idadi ya waliofariki imekaaje? Nashauri kama mtu unajielewa misiba kama hii susia.
KWELI uwanja umejaaa wanajeshi , na wanachuo wa polisi na usalama wa taifa …..hii kisiasa haijakaaa vyema …kwa saababu hata tukisema Mzee Mwinyi ni mzee hawamjui….huyu ni baba wa seating President ni jambo la kushangaza kama wananchi wameshindwa kujitokeza kumpa FarajaKama watu wakienda kuaga kwa upendo tu wanashushiwa kipigo unadhan nani aende huko, wacha wazikane wenyewe bwana na majeshi yao
Kwani jana pale Shamba la bibi kulikuwa na nyomi?Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Waliopanga hii shughuli hawakuzingatia imani na utamaduni wa kizanzibari.Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Ulizia waliokwenda mortuaries za hospital za Dar wakuambie walichoona.Idadi kamili ni ipi mkuu
Ndugu yanguUlizia waliokwenda mortuaries za hospital za Dar wakuambie walichoona.