Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Hiyo ndo tamu na chungu ya CCMKama nikakumbuka vizuri polisi iliweka idadi kama ya watu 45 hivi wakati hosptal jama alisema zilikuwa zimepangana maiti. Ni mtu wa uhakika na ni mwana CCM kindaki na alikuwa analaumu. Haya mambo kama unataka kufuatilia unaweza kupita hizo hospital ukaulizia kijanja. Hata wakati wa covid walificha idadi.