Najiuliza, ule umati wa waliomuomboleza Jiwe kila alikopitishwa walihamasishwa na nani?Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Mkimaliza kubagua Wabara mtahamia kwa Wapemba. IT'S ALWAYS HOW IT WORKS.Huyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Barabarani hukuona walivyofurikaNiko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Nyerere alifariki 1999, asilimia kubwa ya watu waliokuwepo walikuwa na connection nae.Huwa Hilo haijalishi sana legacy huwa inaishi hata miaka Mia ….nyerere alipofariki maelfu ya watu walimiminika hata ambao hawakuwahi kumuona…..
Pengine tujifunze pia kutohodhi Misiba ..kwani inawafanya watu kuona huu ni msiba wao Yaani wa viongozi
MkuuUnakumbuka kilichotokea wakati wa kumuaga Magufuli? Kwa taarifa yako, walifariki watu wengi kweli kweli halafu serikali ikaficha. Wale wote waliofariki walizikwa na ndugu zao na attention yote ya serikali ilikuwa ni mazishi ya Magufuli. Nitashangaa sana kama kuna watu bado hawakujifunza kwenye lile tukio.
Mbona Magufuli mlimwaga Kwa wingi kuanzia barabarani Hadi uwanjani alikuwa mzànzibari?Huyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Barabara zipi?Barabarani hukuona walivyofurika
Mimi kuna jirani alifariki na watoto. Hawakuzikwa na serikali. Pengine waliwahi kuzika kabla serikali haijafanya mpango? Na hii ya kuficha idadi ya waliofariki imekaaje? Nashauri kama mtu unajielewa misiba kama hii susia.Mkuu
Waliofariki walizikwa na serikali. Nilishiriki msiba wa familia ya rafiki yangu aliyeondokewa na ndugu watano pale Taifa.
Tatizo siyo kuhofia kukanyagana bali ni mwangwi wa Msiba wa Lowasa ambapo wanausalama waliover eeact kwa wapendwa waombolezaji kwa mmoja kusimikwa konde la shingo hivyo inapelekea watu kuanza kususia misiba ya kitaifa kwa sababu ni ya viongozi na si wanachi.
Ubaguzi unajiongeza taratibu
Kumbuka wanawake waislam hawajitokezi kwenye misiba yawezekana ndio sababu kubwa ya kutokuwepo uwanjani lakini tendo la kuaga mwili kwa waislam sio utamaduni kwa hiyo husiwe na hofuNiko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Unafikiri Kwa zile nyimbo tulizokua tunaimba primary ni nani angebaki nyumba asiende kumuaga Mzee wa azimioHuwa Hilo haijalishi sana legacy huwa inaishi hata miaka Mia ….nyerere alipofariki maelfu ya watu walimiminika hata ambao hawakuwahi kumuona…..
Pengine tujifunze pia kutohodhi Misiba ..kwani inawafanya watu kuona huu ni msiba wao Yaani wa viongozi
Helicopter ilimbebaIla bongo jana nilikuwa sehemu nikasikia kijiweni watu wakisimulia eti ndege iliyo ubeba mwili wa babu mwinyi imegoma kuwaka, mwili umegoma kwenda zanzibar kisa kukiuka wosia, nikaingia mtandaoni nisome sikuona kitu.
Ina maana wambea wa humu hawakujua hilo tukio?
Ila ni Rais Mstaafu wa Zanzibar awamu ya 3 usisahau hilo piaHuyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Hao Huwa wanasombwa na maloriYaani hata UVCCM wazee wa vimbelembele misibani Leo wameshindwa kuhamasisha
Wazanzibar wapuuzi sana mna ubaguzi wa kishenzi mbwa nyinyiHuyo ni mbara, sisi wazanzibar hatuwezi kumuaga.
Kama watu wakienda kuaga kwa upendo tu wanashushiwa kipigo unadhan nani aende huko, wacha wazikane wenyewe bwana na majeshi yaoNiko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
Bado mapema.Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?