Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

Hiyo ndo tamu na chungu ya CCM
 

Yaan kisa wewe umewahi tu unaanza kuripoti watu wachache.

Unatofauti gani na wale waliokuwa wanaripoti maandamano ya chadema.
 
Kinachofanyika katika mazishi naona ni tofauti na taratibu ninazozionaga katika mazishi mengine ya kiislam mfano ni huu mjumuiko wa wanawake na wanaume kuchanganyikana au ni mazoea tu lakini taratibu zinaruhusu? Wenye ujuzi zaidi naomba elimu kidogo katika eneo hilo.
 
Usinikumbushe nilitembea taifa hadi airport
 
Mtanzania lini ameanza kujifunza?

Wanachota petrol inayoua baada ya gari kuanguka hadi kesho
 
Yaan kisa wewe umewahi tu unaanza kuripoti watu wachache.

Unatofauti gani na wale waliokuwa wanaripoti maandamano ya chadema.
Ukweli haujifichi….
…..naona …ubaguzi waliofanyiwa chadema huku ..umeendelea huko kwa Chama kikuu cha upinzani zanzibar …
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…