Kulikoni ziara za Freeman Mbowe?

Magufuli is dead. Swallow it dude. Harudi tena hata ufanyeje.
Na chadema ilishajifia na inaendelelea kujifia ilihal wewe ukiwa hai unashuhudia, na lazima ulitakuachia stroko maana una matumaini ilihali unachokitumain kinakufa kifo cha dizaini ya jiwe zito limetupwa kati kati ya bahari
 
Huyu mtu utaipata Nate tabu Sana,huwa haelewi haraka.
Huyu akili zake alimkabidhi Nape enzi hizo Nape akiwa Mwenezi.
Babu yako huko kigurunyembe anajua maana ya online registration?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…