Kulikoni ziara za Freeman Mbowe?

Kulikoni ziara za Freeman Mbowe?

Chadema Kama wanataka kurudi kwenye mioyo ya watu lazima watumie falsafa za Magufuli au wampate mtu mwenye hulka Kama za Magufuli

Kwa kuwa hawana akili hawajui kwamba kadiri wanavyotoa kauli mbaya dhidi ya Magufuli ndiyo wanajiharibia taswira

Natamani ningekuwa mshauri wao
Falsafa za dhalim? Never.
 
Chadema Kama wanataka kurudi kwenye mioyo ya watu lazima watumie falsafa za Magufuli au wampate mtu mwenye hulka Kama za Magufuli

Kwa kuwa hawana akili hawajui kwamba kadiri wanavyotoa kauli mbaya dhidi ya Magufuli ndiyo wanajiharibia taswira

Natamani ningekuwa mshauri wao
Ndiyo kwanza wanakimbia uchaguzi
20210527_082517.jpg
 
Acha watu wawe huru ,let them speak their minds

Dikteta kwa miaka 6 alizuia watu kufanya mikusanyiko kama aliyokua akifanya anapoamua anasimama na kuongea na watu popote hata kugawa pesa hovyo !

Ni haki ya kikatiba watu kufanya mikusanyiko na kutoa maoni yao alimradi hawavunji sheria na taratibu za nchi ! Ila dikteta hakua msomaji wa katiba hata preamble ! Alikua na wasiwasi kumuona na kuruhusu mtu mwenye wazo tofauti na yeye kuzungumza
 
Kwani Lumumba wameanza tena kutoa zile Buku saba kama alizokuwa anatoa Chakubanga
 
Hawana hata hela za kuchapisha kasi.
Kinachowabeba kwa sasa ni YouTube chanels
 
Kwani Lumumba wameanza tena kutoa zile Buku saba kama alizokuwa anatoa Chakubanga
Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
 
Mbowe hatasamehewa na watanzania kwa kitendo chake cha kuangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia amepigwa na wasiojulikana ili kumchafua mwendazake.
Hivi mumeo hakufikishi kileleni hadi muda wote unamuwaza Mbowe tu?
 
Back
Top Bottom