Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Mbowe hatasamehewa na watanzania
Mwendazake nae atasamehewa kwa kesi za kubambikizia watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hatasamehewa na watanzania
Wewe utapoteza nini?Karibu anakifunga chama chake kakitumikia Muda mrefu sana
RubbishUzuri kila mtu Yuko kujifunza tutajua Tu utulivu na kuondokewa na mdudu tafuta wagombea na influence
Huyo Mshosha nzobhe yuko bado UJIMA yaani agestoneUmeambiwa wanafanya online, unaelewa maana ya online registration lakini?
Anasubiri Hadi Etweege a join the chain 🏃Vipi makongamano ya katiba mpya
sembuse anuani za makazi haziangaliiBibi yako huko kishumundu anajua maana ya online registration?
Laana itawatafuna mpaka mkome
Mazwazwa ya CCMHuyo Mshosha nzobhe yuko bado UJIMA yaani agestone
Unajua kinachoendelea au unakurupuka tu kama uharo!wishoni mwa mwezi 5 mwaka huu CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walitangaza kuanza ziara nchi nzima za kufufua chama na kusaka wanachama wapya.