Kulikuwa na haja gani kusomba utitiri wa watu wasiokuwa na impact kwenda Korea kutumia kodi za watanzania masikini kwa ajili tu ya kusaini mikopo?

Kulikuwa na haja gani kusomba utitiri wa watu wasiokuwa na impact kwenda Korea kutumia kodi za watanzania masikini kwa ajili tu ya kusaini mikopo?

Hivi tumelogwa na nani?

  • Unlimited acess

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    8

Janja weed

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
3,000
Reaction score
5,606
Naomba kujuzwa wadau hivi kuna haja gani ya kusomba umati wote ule kwenda nao Korea na wakati maisha huko Bongo ni magumu ajabu Nimewashuhudia hapa mpaka mama lishe sijui wa wapi huko, kwa weli naanza kuona Trump alikuwa sahihi kabisa kusema waafrika ni lazima tutawaliwe upya.
 
Naomba kujuzwa wadau hivi kuna haja gani ya kusomba umati wote ule kwenda nao Korea na wakati maisha huko Bongo ni magumu ajabu Nimewashuhudia hapa mpaka mama lishe sijui wa wapi huko, kwa weli naanza kuona Trump alikuwa sahihi kabisa kusema waafrika ni lazima tutawaliwe upya.
Shida ya sisi Watanzania maneno mengi matendo zero, tujikusanye tuingie msituni tujifuze shabaha tuibuke kudai vyetu
 
Mimi naamini zote ni psychological operation kuelekea 2025, na walengwa ni wananchi.
 
Naomba kujuzwa wadau hivi kuna haja gani ya kusomba umati wote ule kwenda nao Korea na wakati maisha huko Bongo ni magumu ajabu Nimewashuhudia hapa mpaka mama lishe sijui wa wapi huko, kwa weli naanza kuona Trump alikuwa sahihi kabisa kusema waafrika ni lazima tutawaliwe upya.
Sababu kubwa Ni kuwa expose watanzania wenzetu walio bahatika kwenda na rais so wamekua exposed na hiyo Safari impact yake itaonekana kwa ngazi ya familia na later country in large..

Much respect kwa madam president mama Samia suluhu hassani namkubali mama na nampenda Sanaa rais WETU..

NB.
Hotuba ya mama samia Jana pale chuo kikuu Korea nili observe vitu kadhaa
*Siku pendezwa na deliverance ya speech yake sorry to say kwa tulio pitia shule kuanzia secondary school yaan morning talk, debate mpaka kufika chuo kikuu Ile speech deliverance yake unaona kabisa hakua prepared yaan alikua shallow in deep kwa usomaji ule na uwasilishaji ule.

All in all mungu mbarik rais wetu mungu ibarik TANZANIA
 
Uzuri wetu sisi watanzania ni wazuri sana kwenye kulalamika lakini sio kufanya maamuzi sahihi
 
Hapa tumeingizwa chaka, ofisi iko na mtu wa level NGO. Yaani katibu muhtasi amepewa ofisi. Inaumiza sana, ndio maana hata kujadili siasa za bongo ni kujiongezea msongo tu.
Ronald Reagan alikuwa Cowboy 😊
 
Walienda kutuwakilisha, wasanii ni kioo cha jamii。
 
Hajaonana na akina Jumong,Dae Jo Young kama Mr.Born Town enzi zake alipoenda USA akapiga picha na akina 50 Cent
 
Hamtaki mtengenezewe tamthiliya nzuri,wakoream mixer wabongo jumong ndani 😄
Nyie wabongo sahv si mnapenda miziki,tamthiliya ,udaku tu ,wasani kwenu miungu watu
Acha mtengenezewe mamovieee
Mtulieee
Na uchaguzi unaokujaa wasanii hao hao watatumiwa kuwavutaaa

Oba
 
Huku madaktari, walimu,wauguzi,askari etc wanaugulia kwa ugumu wa maisha mishahara pamoja na posho ni kiduchu!
Ila Tanzania!
 
Naomba kujuzwa wadau hivi kuna haja gani ya kusomba umati wote ule kwenda nao Korea na wakati maisha huko Bongo ni magumu ajabu Nimewashuhudia hapa mpaka mama lishe sijui wa wapi huko, kwa weli naanza kuona Trump alikuwa sahihi kabisa kusema waafrika ni lazima tutawaliwe upya.
Waimba mapambio lazima waonjeshwe buyu la asali halafu muone watakavyo imba kama chuchungwe kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu
 
Nimecheeka kama mazuri.......moyoni anajua usiulize
 
Back
Top Bottom