Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

Paploman

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
1,759
Reaction score
3,452
Habarini wakuu.

Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?

Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Wewe kinacho kuuma hapo ni nini? .....Wewe ungejikita kwa masuala yanao kuhusu nchini kwako tuna uchaguzi wa viongozi wa mitaa chambua huo.
 
Video za p Didy nani alizibamba?
Usalama wa Taifa katika nchi za Afrika ni ajira ya ukoo au connection, vijana wengi wa usalama wa Taifa hawana akili timamu kufit kazi ile ngumu.
Serikali haijavujisha bali vijana wahuni walioajiriwa na serikali ndio waliovujisha
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Asilimia kubwa ya ngozi nyeusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiria. Yaani unaweza kukuta wale watu waliokutana na yule mwanaume wao hawana shida kabisa ila kuna watu wanataka kunufaika na hilo tukio
 
Video za p Didy nani alizibamba?
Usalama wa Taifa katika nchi za Afrika ni ajira ya ukoo au connection, vijana wengi wa usalama wa Taifa hawana akili timamu kufit kazi ile ngumu.
Serikali haijavujisha bali vijana wahuni walioajiriwa na serikali ndio waliovujisha
Ni serikali, hao wamefanya kazi Kwa niaba ya serikali.

Hujaona Ile ya Masaki, Polisi walivujisha makusudi
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Mkuu unajuaje kuwa ni serikali iliyovujisha na si watu tu ambao hata inawezekana wakawa wafanyakazi wa serikali, lakini hawajavujisha kama serikali bali kwa utashi wao binafsi?
 
Asilimia kubwa ya ngozi nyeusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiria. Yaani unaweza kukuta wale watu waliokutana na yule mwanaume wao hawana shida kabisa ila kuna watu wanataka kunufaika na hilo tukio
Ni Ujinga mkuu, jamaa anaweza kuwa na ujinga mwingi ila hizi zilikuwa ishu binafsi zaidi.

Athari zake zimekuwa kubwa kuliko ujinga waliofanya
 
Mkuu unajuaje kuwa ni serikali iliyovujisha na si watu tu ambao hata inawezekana wakawa wafanyakazi wa serikali, lakini hawajavujisha kama serikali bali kwa utashi wao binafsi?
Wana Usalama ndio wamevujisha mkuu. Baada ya kumfanyia upekuzi ndio wakakutana na huo mzigo
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Phone was hacked kwakua kuna watu walishindwa vumilia what he was doing,nanimkubwa serikalini.
Africa watu km hawa ni wengi sana tena mno wanaofanya haya sema hawaonekani
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Wamehamisha magoli hapo....jambo.la serikali limefanyika na kufanikiwa......
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Kwa utandawazi ulivyo, unaconclude vipi kuwa Serikali ndiyo iliyohusika kuvujisha video hizo?

Enhe, clip za Makamba Jr, Membe, Nauye, Ngeleja, Kinana na Makamba sr, kumdhihaki na kumtukana Magufuli matusi ya nguoni, ni taasisi gani ya kiSerikali iliyovujisha?

Usijibu kwa kudhania.
 
Kwa utandawazi ulivyo, unaconclude vipi kuwa Serikali ndiyo iliyohusika kuvujisha video hizo?

Enhe, clip za Makamba Jr, Membe, Nauye, Ngeleja, Kinana na Makamba sr, kumdhihaki na kumtukana Magufuli matusi ya nguoni, ni taasisi gani ya kiSerikali iliyovujisha?

Usijibu kwa kudhania.
Kaka Ishu za makamba na Nauye unashindwa kujua ni nani?
Wewe mtu wa kawaida unaweza kwenda Vodacom wakakupa Voice note ya namba yangu?
 
Back
Top Bottom