Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

Wana Usalama ndio wamevujisha mkuu. Baada ya kumfanyia upekuzi ndio wakakutana na huo mzigo
Sawa,

Sasa unajuaje ni serikali imevujisha na si wanausalama hao kama watu binafsi?

Umeelewa swali langu?

Mfanyakazi wa serikali ya Tanzania akiuza silaha Congo, utajuaje hapa serikali ya Tanzania imeuza silaha na si mtu ambaye ni mfanyakazi wa serikali ya Tanzania kauza silaha mwenyewe tu bila kuagizwa na serikali ya Tanzania na hivyo serikali haihusiki?

Umeelewa swali langu?

Unahakikishaje hao waliovujisha wamevujisha kwa agizo la kiserikali na si kwa matakwa yao wao wenyewe kama watu binafsi?
 
Sawa,

Sasa unajuaje ni serikali imevujisha na si wanausalama hao kama watu binafsi?

Umeelewa swali langu?

Mfqnyakazibwa serikalinya Tanzania akiuza silaha Congo, utajuaje hapa serikali ya Tanzania imeuza silaha na si mtu ambaye ni mfanyakazi wa serikali ya Tanzania kauza silaha mwenyewe tu bila kuagizwa na serikali ya Tanzania na hivyo serikali haihusiki?

Umeelewa swali langu?

Unahakikishaje hao waliovujisha wamevujisha kwa agizo la kiserikali na si kwa matakwa yao wao wenyewe kama watu binafsi?
Kwani serikali ni nani mkuu?
Wana Usalama sio serikali?

Kama serikali haihusiki, mbona hawajachukuliwa hatua waliohusika kuvujisha?
 
Hivyo ndivyo wanadamu walivyo.At some point,huwa wanachoshwa hali ya mambo ilivyo na kuhitaji mabadiriko.Inawezekana kabisa aliyevujisha aliamini hilo jambo haliwezi kupita bila kuacha alama fulani za mabadiriko ndani ya serikali,ndani ya jamii.
Hata hapa Tanzania ipo siku mtu muhimu ambaye amekuwa akitumika katika mambo machafu yanayotutesa atavujisha taarifa muhimu zitakazoleta mabadiriko makubwa.Iwe utekaji na mauaji ya wanasiasa,iwe wizi unaofanywa serikalini,iwe wizi wa na upendeleo unaoipa ccm ushindi feki,vyovyote vile.Ipo siku watu watachoka ,najamii itajua.
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Tulizimiss pilau za ukweli sana natural zenye stelingi mmoja.. Lakini vilevile NGUVU ya mishangazi😂
 
1 hadi 400 wewe unarekodiwaga tu? 😄

Nadhani, ujinga wake walikuwaga washaujua kitambo na wakamuacha ili baadaye(sasa) waje wafaidike na kitu fulani. Inaweza kuwa serikali, au baadhi ya miongoni waliogongewa wake.

Kama vile mwizi akikuibia usimuue wewe, bali mroge akaibe zaidi auliwe huko na wengine. 😂
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Na una uhakika ni Serikali ndio inavujisha?
 
Kwani serikali ni nani mkuu?
Wana Usalama sio serikali?

Kama serikali haihusiki, mbona hawajachukuliwa hatua waliohusika kuvujisha?
Hiyo nchi haina serikali, ni watu tu wanajifanyia wanavyotaka. Ndiyo maana huyo Balthasar anatombatomba wanawake anarekodi video 400 ofisini kwake na majiani.

Sasa hapo unafikiri kuna serikali?

Wewe nchi mtu rais, mwanawe makamu wa rais, na uongozi ni kwa kujuana, hata huyu Balthasar mpwa wao kiukoo huko.

Unafikiri kuna serikali hapo?
 
Hiyo nchi haina serikali, ni watu tu wanajifanyia wanavyotaka. Ndiyo maana huyo Balthasar anatombatomba wanawake anarekodi video 400 ofisini kwake na majiani.

Sasa hapi unafikiri kuna serikali?

Wewe nchi mtu rais, mwanawe makamu wa rais, na uongozi ni kwa kujuana, hata huyu Balthasar mpwa wao kiukoo huko.

Unafikiri kuna serikali hapo?
Duuuh
 
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Swali lako lina umuhim mkubwa sana ingawa watu wanalijibu kimtaani,inawezekana kabisa video ya staff wa mamlaka ikawa imevujishwa na wamiliki wa club au vyombo vya usalama,lakini hii video ya mmiliki wa hiyo club ni dhahiri kabisa imevujishwa na wanausalama.Same na hili janga la Baltasar hizi video zimeleak baada ya wanausalama wa nchi husika kwenda kukagua nyumbani kwake.Africa bado tuna shida kubwa na vyombo vyetu na usalama,either training ni za kiwango cha chini sana au hakuna usimamizi sahihi na maudhui ya uwepo wa vyombo vya usalama kwa Africa ni tofauti na wenzetu.
 
Habarini wakuu.

Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .

Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?

Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.

Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu

Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?

Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Hujapenda uovu kuoneshwa hadharani?
 
Kwani serikali ni nani mkuu?
Wana Usalama sio serikali?

Kama serikali haihusiki, mbona hawajachukuliwa hatua waliohusika kuvujisha?
Kwa hiyo kwakuwa serikali ni watu basi tuseme serikali ya E. guinea (balthazar) imefanya ngono na wanawake 400+? Hujamuelewa bado Kiranga swali lake.
 
Back
Top Bottom