- Thread starter
- #41
Ni wanausalama, walikuwa wanachunguza kashfa zake dhidi ya rushwa ndio wakakutana na huo mzigoSidhani kama ni serikali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wanausalama, walikuwa wanachunguza kashfa zake dhidi ya rushwa ndio wakakutana na huo mzigoSidhani kama ni serikali!
Wewe jibu kwanza maana unakataa hao wanausalama hawawezi kuwa wamevujisha video kwa nafasi yao kama watu binafsi; unasema wao ni serikali,hivyo serikali imevujisha. Sasa kwa kuwa huyo balthazar ni serikali kwa hiyo serikali imelala kingono na wanawake 400?Nieleweshe mkuu
Jibu lipo kwenye mstari wako wa mwisho.Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?
Daah mkuu naomba niseme nimeshindwa kukuelewa. Tuishie hapo mkuu hakuna league hapaWewe jibu kwanza maana unakataa hao wanausalama hawawezi kuwa wamevujisha video kwa nafasi yao kama watu binafsi; unasema wao ni serikali,hivyo serikali imevujisha. Sasa kwa kuwa huyo balthazar ni serikali kwa hiyo serikali imelala kingono na wanawake 400?
Hapo tayari mkuu umejibu kwa kudhania 😃😁.Kaka Ishu za makamba na Nauye unashindwa kujua ni nani?
Wewe mtu wa kawaida unaweza kwenda Vodacom wakakupa Voice note ya namba yangu?
Mkuu fanya kuwashawishi mods warudishe jukwaa pendwa kule chobingoTulizimiss pilau za ukweli sana natural zenye stelingi mmoja.. Lakini vilevile NGUVU ya mishangazi😂
Umepa jibu linalotosha maswali yake yote.Labda hiyo serikali imezima mjadala fulani kwa kumlipua bwana balthazar kwa maufundi yake ya kunyandua mademu mpaka wake za vigogo
Naona kama watu wanalichukulia poa hili swalaHabarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?
Hahahah😂Mkuu fanya kuwashawishi mods warudishe jukwaa pendwa kule chobingo
Sector nyingi nyeti, zimekaliwa na wajinga watupu,....Video za p Didy nani alizibamba?
Usalama wa Taifa katika nchi za Afrika ni ajira ya ukoo au connection, vijana wengi wa usalama wa Taifa hawana akili timamu kufit kazi ile ngumu.
Serikali haijavujisha bali vijana wahuni walioajiriwa na serikali ndio waliovujisha
1. Serikali, sera na sheria za nchi yao Guenea, we Barubaru kipi kikuhemukacho?Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?
Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?
Ni mambo ya kushabgaza sanaNaona kama watu wanalichukulia poa hili swala
To be honest hata mimi swali la kwanza kabisa kujiuliza iliku ni hili
Inakuaje maafisa wa serikali wanaruhusu video zilizo kuwa chini yao zenye kuidhalilisha nchi, wake na ndugu za viongozi wakubwa kabisa rerikalini kuvuja na kusambaa kwenye internet?
Nakumbuka niliwahi kuangalia movie moja wenyewe wanaita based on true events
Kuna bank ilikuwa robed wahuni wakaiba mpaka picha za viongozi wa kubwa serikalini ambao fantasy zao zilikua kwenda kwenye madanguro na vibinti vidogo kisha wanafanya ufuska na kujipiga picha kisha picha zinakwenda kuhifadhiwa bank.
Vyombo vya usalama vilitumia kila resources kuhakikisha picha zinapatikana bila kusambaa na kudhalilisha serikali na wahusika
Baada ya hapo wahusika ndio wakachukuliwa hatua stahiki
Familia 400 sasa hivi zina hali mbaya sana ya kudhalilika sababu ya ujinga wa watu wa usalama na wala sio huyo kitombi
Pamoja na ujinga wa mtu privacy na utu wa mtu vinatakiwa kupewa kipaumbele pia