Sawa,Wana Usalama ndio wamevujisha mkuu. Baada ya kumfanyia upekuzi ndio wakakutana na huo mzigo
Athari ni kubwa sana, sio kwa familia husika pekee, au mhusika pekee au wahusika pekee bali familia nyingi na jamii kwa ujumla wake, kuna namna saa hii kila mwenye mke au mume anamtazama mwenzake kwa mtazamo tofauti na hapo awali.Umepima athari zake Kwa familia za waathirika?
Kwani serikali ni nani mkuu?Sawa,
Sasa unajuaje ni serikali imevujisha na si wanausalama hao kama watu binafsi?
Umeelewa swali langu?
Mfqnyakazibwa serikalinya Tanzania akiuza silaha Congo, utajuaje hapa serikali ya Tanzania imeuza silaha na si mtu ambaye ni mfanyakazi wa serikali ya Tanzania kauza silaha mwenyewe tu bila kuagizwa na serikali ya Tanzania na hivyo serikali haihusiki?
Umeelewa swali langu?
Unahakikishaje hao waliovujisha wamevujisha kwa agizo la kiserikali na si kwa matakwa yao wao wenyewe kama watu binafsi?
Tulizimiss pilau za ukweli sana natural zenye stelingi mmoja.. Lakini vilevile NGUVU ya mishangazišHabarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Kuna kitu kaka sio bureLabda mzee ualaza nae ana uchu wa madaraka ya juu kama pacha wake wa cuba ndio wamemuwahi juu kwa juu ushenzi wake
Na una uhakika ni Serikali ndio inavujisha?Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Kula utamu sio uovušKwa nini huwa unapenda mambo maovu yafanywe siri?
Hiyo nchi haina serikali, ni watu tu wanajifanyia wanavyotaka. Ndiyo maana huyo Balthasar anatombatomba wanawake anarekodi video 400 ofisini kwake na majiani.Kwani serikali ni nani mkuu?
Wana Usalama sio serikali?
Kama serikali haihusiki, mbona hawajachukuliwa hatua waliohusika kuvujisha?
Mkuu waliovujisha ni maafisa usalama waliokuwa wanafanya uchunguzi wa makosa ya rushwa dhidi yakeNa una uhakika ni Serikali ndio inavujisha?
DuuuhHiyo nchi haina serikali, ni watu tu wanajifanyia wanavyotaka. Ndiyo maana huyo Balthasar anatombatomba wanawake anarekodi video 400 ofisini kwake na majiani.
Sasa hapi unafikiri kuna serikali?
Wewe nchi mtu rais, mwanawe makamu wa rais, na uongozi ni kwa kujuana, hata huyu Balthasar mpwa wao kiukoo huko.
Unafikiri kuna serikali hapo?
Swali lako lina umuhim mkubwa sana ingawa watu wanalijibu kimtaani,inawezekana kabisa video ya staff wa mamlaka ikawa imevujishwa na wamiliki wa club au vyombo vya usalama,lakini hii video ya mmiliki wa hiyo club ni dhahiri kabisa imevujishwa na wanausalama.Same na hili janga la Baltasar hizi video zimeleak baada ya wanausalama wa nchi husika kwenda kukagua nyumbani kwake.Africa bado tuna shida kubwa na vyombo vyetu na usalama,either training ni za kiwango cha chini sana au hakuna usimamizi sahihi na maudhui ya uwepo wa vyombo vya usalama kwa Africa ni tofauti na wenzetu.Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya?
Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu , nisaidieni kujua lengo la hizi serikali Huwa ni Nini?
Ni wanausalama wamevujisha mkuuPhone was hacked kwakua kuna watu walishindwa vumilia what he was doing,nanimkubwa serikalini.
Africa watu km hawa ni wengi sana tena mno wanaofanya haya sema hawaonekani
Hujapenda uovu kuoneshwa hadharani?Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Kwanini mtani na wewe umeziangalia?Tulizimiss pilau za ukweli sana natural zenye stelingi mmoja.. Lakini vilevile NGUVU ya mishangaziš
Kwa hiyo kwakuwa serikali ni watu basi tuseme serikali ya E. guinea (balthazar) imefanya ngono na wanawake 400+? Hujamuelewa bado Kiranga swali lake.Kwani serikali ni nani mkuu?
Wana Usalama sio serikali?
Kama serikali haihusiki, mbona hawajachukuliwa hatua waliohusika kuvujisha?
Nieleweshe mkuuKwa hiyo kwakuwa serikali ni watu basi tuseme serikali ya E. guinea (balthazar) imefanya ngono na wanawake 400+? Hujamuelewa bado Kiranga swali lake.