Hiyo ni privacy yake bro ni sawasawa na wewe kuchukua uchawi. Hatuwezi kuhoji kusudio lako ni nini mathalani wewe utueleze.Halafu huyu baltasar kwanini alikuwa akijirekodi Kila anayemnyandua,tuanze na yeye kusudio lake hasa lilikuwa Nini?
Mkuu mbona unaongea matukio mawili tofauti, Binti wa yombo na video za huyu bwana ni mambo mawili tofautiMbona mnatetea ujinga? hivi mmejiuliza lengo la kujirekod kwa huyu bwana kitombi video zote hizo ilikuwa nini? sasa mnalaumu kuvuja kwa video badala ya kulaani ushenzi wa mkaza wake za watu? Juzi kati hapa kuna kesi ya bint wa yombo video zilivuja ikasaidia waalifu kukamatwa. sasa katika jambo kama hii unamlaumu mvujisha clipe ama wabakaji? Mfano sasa hivi taifa linapitia wakati mgumu sana mauaji na utekaji, ikitokea siku video za watesi wa akina mzee Kibao, Ben, nk zikasaidia kukamatwa kwa watesaji utalaumu mvujisha video ama watesaji?.
Kama unazo tuma wengine pia wawasikie wakina February MaropeKwa utandawazi ulivyo, unaconclude vipi kuwa Serikali ndiyo iliyohusika kuvujisha video hizo?
Enhe, clip za Makamba Jr, Membe, Nauye, Ngeleja, Kinana na Makamba sr, kumdhihaki na kumtukana Magufuli matusi ya nguoni, ni taasisi gani ya kiSerikali iliyovujisha?
Usijibu kwa kudhania.
Hana ukiona hivyoMange kimambi alisema atazivujisha za kiongozi mkubwa Tanzania lakini Hadi Sasa kaamua kukaa kimya.
SIDHANI KM SERIKALI NDO ILIRUHUSU HILI JAMBO,HAO WATU WALIOKUWA WANADILI NA BARTASAR LAZMA KULIKUWA KUNA MAADUI ZAKE AMBAO WAMEONA WATUMIE HII NAFASI KUMMALIZA JAMAA BY THE WAY SIONI KAMA KUNA HAJA YA KUMUONEA HURUMA HUYU BARTASAR KWANI KULIKUWA NA ULAZIMA GANI KUJIREKODI HASA UKIZINGATIA UMRI NA STATUS YAKE?Habarini wakuu.
Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea .
Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono?
Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica, niliona hata Ile ya Masaki ya yule bwana mdogo wa TRA kufanya vurugu Club na kutishia Kwa bastola, polisi wetu nao walivujisha baada ya kukutana na video ya mmiliki akivinjari na mfanyakazi wake.
Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Huwa lengo Leo ni Nini hasa? Mamlaka kuvujisha video chafu mtandaoni pamoja kwamba Sheria haziruhusu
Mbona P diddy, serikali ya Marekani haijavujisha video zake?
Wakuu, nisaidieni kujua lengo la hizi serikali huwa ni nini?
Ama training Kwa wanausalama wetu ni za kiwango Cha chini?