Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Sawa. Hata pale Libya 99% ni waislamu lkn waliuana kama kuku.
Sudan asilimia kubwa ni waislam lkn wanachinjana km kuku mpk sasa hivi ila cha ajabu wanamsingizia Marekani.
Unaenda mbali sana, nenda hapo Somalia
 
Putin angekuwa na ubinadamu asingeshambulia shule za watoto na hospital huko Ukraine.
Warusi wote ni wabaya.

Uhalisia wa waliouliwa Ukraine hautajulikana kamwe haswa Mariupol
 
Sawa. Hata pale Libya 99% ni waislamu lkn waliuana kama kuku.
Sudan asilimia kubwa ni waislam lkn wanachinjana km kuku mpk sasa hivi ila cha ajabu wanamsingizia Marekani.
Tatizo lao wao kwa wao wakifanyiana mabaya huwasikii wakilalamikiana,ila watatafuta mtu mwingine wa kupewa hizo lawama!!ndio hayo ya unguja na pemba,wakati wa chaguzi unyama wanaofanyiana utafikiria ni myahudi na mtalibani!!ila leo wanakwambia RC, ndio mbaya wao!!!wazee wa MNYAZI MUNGU
 
Nimewaza mbali Sana ,,huenda Putin ahusiki hata Chembe na kifo cha huyo commander' ,,

Frence na genge lake ndy wauaji.
 
Haya mambo yamekuzidi uwezo waachie wenye kuelewa. Iraq , Libya , Afghanistan, Syria kote huko majeshi ya marekani yameingia kupigana. Sasa kama marekani haihusiki majeshi yake yanafanya nini huko?
Huko kwengine sawa Ila kwa Libya umetupiga marekani haikuwai kupeleka jeshi Libya
 
Msiwasingizie Warusi, balaa la Ukraine Zelensky alilitaka mwenyewe, alionywa mara lukuki lakini hakusikia la mtu zaidi ya Biden na hasa hasa Boris Johson akaambiwa awapuuze Warusi Uingereza na USA watamsaidia kwa hali na mali sasa kiko wapi si afadhali angekubaliana na masharti ya Minsky - ujeuri wa Zelensky ndio utairudisha Ukraine kweye stone age ERA akumbuke kwamba hana ubavu es kushindana na kuishinda a SUPER POWER nation kama Urusi - western nation wataendelea kuitoa kafara Ukraine ili itumike kwenye majaribio ya silaha za magharobi zoezi ambalo wame fail vibaya mno uncluding recent hyped "counter offensive"
Ukraine lengo ni kumtia adabu mrusi kitu ambacho ameshakitekeleza, lini ulifikir kwamba siku moja Urusi atapigwa mabomu ndani ya ardhi yake? Lini ulifikir majenerali wa nchi iliyodhaniwa ni tishio kama Russia watakufa kama kuku?
 
Msifie lakini mwarabu huwezi kumuita true son of africa yaani hata wenyewe wanakushangaa.

Gadaff alibadilika sana. Alikuwa na mtazamo tofauti kabisa. Alikuwa akijisikia muAfrika zaidi kuliko muArabu.
 
Viongozi wa Afrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
Wao wanafikiri Russia na China watakuwa msaada sana kwao kumbe wanawekwa kwenye mtego ili rasilimali zote ziende China na Russia.
Baada wajitoe kwenye mfungamano, watengeneze umoja wao Afrika ila wanaenda kwa mkoloni mwingine.
Putin anamuonea wivu sana Marekani, mfaransa na Uingereza kwa kuchukua mali nyingi sana kwahiyo miaka inayokuja baadhi ya nchi zitakuwa ni koloni la mrusi na mchina.
Nchi za Afrika hawajifunzi kwa Ukraine. Kwanini Urusi anaipiga Ukraine? Ukishapata jibu basi ujue Urusi hana nia njema na bara la Afrika.
Wakijitenga na pande zote. Teknolojia watazipata wapi?
Afrika tuna kila kitu ila hatuna teknolokia ya kutumia hizo rasilimali.
Mchina biashara yake ni 3/4 kwa 1/4 mzungu 9/10 kwa 1/ 10 yupi bora?
Kuna fair play unapofanya biashara na Asia kuliko west.
West wamekuwa na teknolojia zaidi ya miaka 200 ila kuzirahisha kwa mtu wa chini ilionekana haifai wenzetu Asia wamerahisisha Teknolojia kwa kila mtu.
Bila Asia mpaka sasa INTERNET, USAFIRI,UJENZI vilionekana ni anasa.
Chini ya wamagharibi kila kitu ni gharama, kwa wamashariki wanajsli utu wa mtu.
Mchina amefsnya revolution kwa mtu mtu masikini.
Waafrika wana akoli saba kiliko unavyodhani, wamepima mizani na kuona hailipi kwa mzungu bora wachague ipande mwingine.
Unahitaji uuze uuze dhahabu gm ngapi ununue piki piki ta boxer na gram ngapi ununue Kawasaki?
Tukifeli huko tutafuta njia nyingine.
 
Porini mti mkubwa ukianguka, miti midogo midogo ya pembeni huangukiwa na kufa au kukatika. Ndio kanuni za asili.
 
Ukraine lengo ni kumtia adabu mrusi kitu ambacho ameshakitekeleza, lini ulifikir kwamba siku moja Urusi atapigwa mabomu ndani ya ardhi yake? Lini ulifikir majenerali wa nchi iliyodhaniwa ni tishio kama Russia watakufa kama kuku?
Urusi keshaona kawaida
 
Back
Top Bottom