Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Kuna uzi watu wanauliza elimu yako,jibu kule sio kukaa kimya!
 
Muache janja janja na uswahili mwingi, na Mkiendelea kujilisha upepo , Kwa kuyajali matumbo yenu Mwakan kutakua na CDM jina .

Wewe Kwa Fikiria zako na unavyomjua LISSU, LISSU anaweza kua Mjinga kiasi Cha kuingizwa 18 na Mchungaji Msigwa ?.


Ok kwann MAPINDUZI? Hamna sababu za MAPINDUZI?? Mapinduzi ni njia Moja wapoya halali kabisa ya kumuondoa Kiongozi mtesi, mbabe, mbinafsi, mla Rushwa .
 
Kwamba wewe ndio umeaminika ni 'Think Tank' wao kuleta hoja mufilisi humu jukwaani?
 
Hivi unadhani humu wote humu ndani ni watoto

Humu tupo madaktari, wakurugenzi wa taasisi , ma rais wastaafu
Engineers wabobevu

Hivyo kabla hujaleta takataka yako yoyote humu kaa chini ufikirie kwamba unaenda kuandika kitu ambacho top elites watasoma

Stupid thing to come on my eyes today

Wish your dad could wore a condom what is this?
 
Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Hapa tu ndio nimekudharau na kukuona hamnazo kwa kuandika upuuzi.
 
Wewe Mapinduzi yako ya kumpindua Dr. Lillian Mtei yamefanikiwa umekuwa mke rasmi wa Mbowe bado akutie mimba tu.
 

Attachments

  • GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    58.9 KB · Views: 1
Ndio maana wanamitandao na wanaharakati wanahangaika sana kila siku wanaanzisha poll ili kuonyesha Lissu anakubalika, mwanzo nilitaka kuhadaika nilipoujua ukweli nikaachana nao.

Nimeshamwambia Lissu Maria Space haiwezi kumpatia kura.
 
 
Yeriko Nyerere mtoto wa baba wa ubatizo wa Freeman Mbowe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
daa hili lijamaa mbona linaleta uongo ambao hta mwanangu wa lakwanza atautambua t! yn unajalibu kudangany kuwa ccm inatk kumtumia lisu kuwaptza chadema? ko mbowe n mtu safi kbsa na anania njema na cdm?.. nimeamin kweli huna kitu kchwan mwako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…