Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Mtunzi wa hekaya za Hutaki unaacha.Ameanza tena kazi ya utunzi wa hekaya za kumpinga Lissu.Ni chawa pro max wa mwenyekiti Mbowe ambaye anaishi mjini kwa kulelewa na Mbowe.Sasa anafanya juhudi kubwa ili kumharibia mtu anayeonekana ni tishio kwa "master" wake.Si umeona anamuita "master" hapo?

Maandishi mengi halafu ni uongo tuu Ni propaganda tuu zilezile za Jason Bourne na Hutaki Unaacha.Miaka imebadilika.Watu wamebadilika.Wanachadema sio tena manyumbu ya kuamini kila "ubunifu" na propaganda za mweyekiti.

Muhimu ni kuwa hata wewe unajua watu wanataka mabadiliko.Unasema itazaliwa chadema mpya baada ya uchaguzi.Hakuna chadema mpya itakayokuja kama Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti.Chadema mpya na yenye nguvu zaidi ipo mikononi mwa Lissu.Chadema maslahi haiitajiki tena.Wakati umebadilika.Watu hawataki chadema yenye machawa waandika hekaya ili kulinda mkate wao wa kila siku

Watu wamechoka na mfumo wa siasa za makao makuu.Watu wanataka chama cha kitaifa ambacho nguvu yake ipo kila sehemu.Eti ili chama kionekane
kinafanya mkutano wa ushawishi Misungwi basi ni lazima Mbowe au watu kutoka makao makuu waende Misungwi.Kwanini watu wa Misungwi wao wasiwe na ushawishi kwa wanachadema wa Misungwi na kuwe
zeshwa kueneza chama hadi misungwi ndanindani huko bila watu kwenda kwa chopa kuleta nguvu?

Huo ni mfumo uliowekwa makusudi na Mbowe ili aendelee kusikika yeye na machawa wake wa makao makuu na kuonekana ni watetezi pekee wa wananchi.Na bado mtu kutoka Maduma huko ndanindani ambapo hata hiyo chadema anayojifanya anaipenda,hajaipeleka huko vijijini kwao,anakuja hapa kuandika propaganda dhidi ya mgombea uenyekiti ambaye ndiye chaguo la wanachadema wengi nchi nzima.Kisa ni wanalindwa na kulelewa na mfumo uliopo wa kiongozi anayekubalika na CCM!

Fikiria tu hili.Upinzani unapambana na chama tawala.Kuna wagombea wawili wa nafasi ya uenyekiti wa chama cha upinzani.Mmoja anaungwa mkono na wafuasi wengi wa upinzani na mwingine anaungwa mkono na chama tawala.Yani chama tawala kinamuunga mkono mmoja wa wagombea wa nafasi ya uwenyekiti wa chama cha upinzani,na bado kuna majuha wa upinzani wanaungana na chama tawala kumkaanga mtu asiyetakiwa na chama tawala!Inachekesha sana.

Watu mmeamua kutetea maslahi yenu bila aibu.Tutapambana nanyi mpaka mwisho tuwashinde nyinyi na wenzenu wa chama tawala kupiga chini kikundi cha chadema maslahi kwakuwa awamu hii kimejiweka wazi na tumekishtukia.
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Maria Sarungi ni CCm na anatumika na mfumo.
 
Najua unanufaika na huo upande ulioamua kushabikia.
Lissu ana mapungufu kama walivyo binadamu wengine.

Lkn mimi binafsi ninamuappreciate jinsi alivyofaulu kutoa somo la civic education kwa vitendo kwa wananchi vile vile kujua haki zao na kuwa na uthubutu wa kuzitetea haki zao.
Kwangu hilo tu linatosha kumwona Lissu n mtu muhimu sana asiyestahili kubezwa na kutukanwa na nyie chawa pro max wa Mbowe.
Hujajibu swali langu, kama aliweza kutoa elimu akiwa makamu leo anashindwa nini kuendelea kutoa hiyo elimu akiwa kwenye nafasi yake hadi autake uenyekiti.
 
Hujajibu swali langu, kama aliweza kutoa elimu akiwa makamu leo anashindwa nini kuendelea kutoa hiyo elimu akiwa kwenye nafasi yake hadi autake uenyekiti.
Soma post no 221 utapata kitu
Usipoelewa bhas utakuwa na makamasi kichwani.
 
Ndio maana wanamitandao na wanaharakati wanahangaika sana kila siku wanaanzisha poll ili kuonyesha Lissu anakubalika, mwanzo nilitaka kuhadaika nilipoujua ukweli nikaachana nao.

Nimeshamwambia Lissu Maria Space haiwezi kumpatia kura.
Ni lazima mtu timamu ajiulize sana, nguvu kubwa sana inayotumika kumnadi Lissu inatoka ndani ya CHADEMA au nje ya CHADEMA?

Unaweza kuona kabisa CCM wamechanganyikiwa sana na huu uchaguzi wa CHADEMA, ni wazi kwamba kuna mgombea mmoja ni mtu wao, je ni nani? Tutamgundua vipi?
 
Aanzishe chama chake, kwani hiyo cdm kaanzisha Mbowe, au amekaa muda mrefu hadi unaamini ni chake?
MBOWE SIYO CHAKE ASILANI NI CHA WANACHADEMA NA WATANZANIA WENGINE. NI JUKUMU LA MBOWE KUHAKIKISHA CHMA HAKIFII KWENYE MIKONO YAKE. AFANYEJE? MPE USHAURI
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Takataka tupu
 
Kama hakubaliani na aliowakuta kiustaarabu aanzishe chake, leo mimi nikihamia CCM siwezi kwenda na kuanza kuwapangia cha kufanya ndio hekima na busara inavyotaka.
Ana miaka 20 sasa kwenye hicho chama, ni wangapi hao aliowakuta? Halafu suala sio kumkuta mtu, bali ni kuwa na mawazo sahihi. Unasema leo ukienda ccm, ina maana umekosa mifano kabisa ukaona utolee mfano wa ccm? Daaa kazi ipo.
 
Mbowe siyo chake hata kidogo. Ni chama cha wanachama na wapEnzi and the rest you can include at your choice.
Mnashindwa kuona concern yangu na wengine wa hivyo.

APPROACH YA LISU KATIKA KERO ANAZOZITAJA NDANI YA CHADEMA, MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUIKUBALI. LISU HAFAI KABISA KWA HILO......

MFANO, UNAMTANGAZIA SAMIA CONFRONTATION, SHE WILL ALSO ALERT HER ARSENAL TO CONFRONT YOU! HIYO NI AKILI MATOPE, UTAWEA KUPAMBANA NA MAJESHI YA SAMIA TAKING INTO CONSIDERATION KUWA HAKUNA MTANZANIA ANAYEWEZA KUHIMILI RISASI INCLUDING YOU.......................
Mtu hata kama humewezi pambana naye, hata akikupiga atakuheshimu. Kwenda kujinyenyekeza ni kumfanya akuone bonge la poyoyo.
 
MBOWE SIYO CHAKE ASILANI NI CHA WANACHADEMA NA WATANZANIA WENGINE. NI JUKUMU LA MBOWE KUHAKIKISHA CHMA HAKIFII KWENYE MIKONO YAKE. AFANYEJE? MPE USHAURI
Akae pembeni maana kama chama ni cha wanacdm, basi wapo wengi wanaweza kuchukua nafasi yake bila chama kukwama.
 
Hii ni habari njema, chuchu ya mabadiliko haya ni TL!. FM hawezi kubadilisha chochote kwasababu amefikia optimum yake.

Asante kwa taarifa hii

CCM wanamtaka FM, TL akigombea, GenZii by saa 4:00 wako vile viwanja pale feri, hawana hata haja ya kusubiri matokeo!.

Muheshimu Mzee wetu huyu, huyu sio kichaa!. Ila nyinyi watu wa ajabu sana!, mtaji mnao Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ? sijui mnashindwa vipi kuutumia mtaji huu!.

Mabingwa wa siasa Afrika kiongozi miaka 20 mbunge 1!.
Kila la kheri
P
Kwahiyo mwaka 2000 kulikuwa na uchaguzi mpaka ushangae mbunge mmoja?

Hata huyo mbunge mmoja waliachiwa Chadema kwa sababu ccm walimtosa Kessy.

Kura yako moja Kawe ndio ya kushangaa zaidi.
 
Back
Top Bottom